Please enable JavaScript to view advertisements.
×
App Icon
The Standard e-Paper
Join Thousands Daily
★★★★ - on Play Store
Download App

Ruto asema serikali itajadiliana na walimu kuhusu kodi ya nyumba ya asilimia 1.5

Serikali itajadiliana na walimu kuhusu mpango wa kuwatoza wafanyakazi wa umma kodi ya asilimia 1.5 ili kufanikisha utekelezaji wa mpango wa serikali wa ujenzi wa nyumba takriban laki tano ambazo zitakodishiwa wananchi kwa bei nafuu. Kauli hiyo imetolewa na Naibu wa Rais, William Ruto wakati wa kongamano la 20 la wajumbe wa Chama cha Walimu wa Shule za Upili na Vyuo vya Kadri, KUPPET kufuatia malalamiko ya walimu kwamba huenda mpango huo ukawaathiri kiuchumi ikizingatiwa mapato yao bado ni ya chini.

Naibu wa Rais, William Ruto amesema lengo la kuwatoza walimu kodi hiyo ni kwa kuwa mradi huo unalenga kuwanufaisha Wakenya wote na kuhakikisha wanapata makazi bora.

Premium Article

Get Full Access for Ksh299/Week.

Fact-first reporting that puts you at the heart of the newsroom. Subscribe for full access.
Continue Reading  →
What you get
  • Unlimited access to all premium content
  • Ad-free browsing experience
  • Mobile-optimised reading
  • Weekly newsletters & digests
Pay via
M - PESA
VISA
Airtel Money
Secure Payments Kenya's most trusted newsroom since 1902
Support Independent Journalism

Stand With Bold Journalism.
Stand With The Standard.

Journalism can't be free because the truth demands investment. At The Standard, we invest time, courage and skills to bring you accurate, factual and impactful stories. Subscribe today and stand with us in the pursuit of credible journalism.

Pay via
M - PESA
VISA
Airtel Money
Secure Payment Kenya's most trusted newsroom since 1902

Related Topics

KUPPET Ruto