The Standard Group Plc is a
multi-media organization with investments in media platforms spanning newspaper
print operations, television, radio broadcasting, digital and online services. The
Standard Group is recognized as a leading multi-media house in Kenya with a key
influence in matters of national and international interest.
Serikali itajadiliana na walimu kuhusu mpango wa kuwatoza wafanyakazi wa umma kodi ya asilimia 1.5 ili kufanikisha utekelezaji wa mpango wa serikali wa ujenzi wa nyumba takriban laki tano ambazo zitakodishiwa wananchi kwa bei nafuu. Kauli hiyo imetolewa na Naibu wa Rais, William Ruto wakati wa kongamano la 20 la wajumbe wa Chama cha Walimu wa Shule za Upili na Vyuo vya Kadri, KUPPET kufuatia malalamiko ya walimu kwamba huenda mpango huo ukawaathiri kiuchumi ikizingatiwa mapato yao bado ni ya chini.
Naibu wa Rais, William Ruto amesema lengo la kuwatoza walimu kodi hiyo ni kwa kuwa mradi huo unalenga kuwanufaisha Wakenya wote na kuhakikisha wanapata makazi bora.
Premium Article
Get Full Access for Ksh299/Week.
Fact-first reporting that puts you at the heart of the newsroom. Subscribe for full access.
Stand With Bold Journalism.
Stand With The Standard.
Journalism can't be free because the truth demands investment.
At The Standard, we invest time, courage and skills to bring you accurate,
factual and impactful stories. Subscribe today and stand with us in the
pursuit of credible journalism.