Please enable JavaScript to view advertisements.
×
App Icon
The Standard e-Paper
Smart Minds Choose Us
★★★★ - on Play Store
Download App

Rais Uhuru Kenyatta anatarajiwa kuzindua rasmi mwanzo wa siku mia moja za Kampeni ya Kitaifa ya Chanjo, wakati uo huo kuwatuma kwenye kaunti mbalimbali madaktari kutoka nchini Cuba

Ikiwa njia mojawapo ya kuboresha afya ya Wakenya na kuiweka Kenya miongoni mwa mataifa yanayotoa huduma bora za kimataifa, Rais Uhuru Kenyatta amezindua Kampeni ya Kitaifa ya Siku 100 ya Utoaji Chanjo, chini ya mpango wa National Rapid Results Initiative, pamoja na madaktari mia moja kutoka Cuba ili waanze kuhudumu kwenye kaunti mbalimbali nchini

Hafla hiyo iliyoandaliwa katika ofisi za Mamlaka ya Usambazaji Vifaa vya Matibabu, KEMSA eneo la Embakasi, Nairobi vilevile ilihudhuriwa na Waziri wa Afya, Sicily Kariuki pamoja na washikadau wegine katika sekta ya afya. Rais amesema serikali imejitolea kufanikisha ahadi yake kwa asilimia mia moja ili kila Mkenya apate huduma bora za matibabu na kwa bei nafuu.

Premium Article

Get Full Access for Ksh299/Week.

Fact-first reporting that puts you at the heart of the newsroom. Subscribe for full access.
Continue Reading  →
What you get
  • Unlimited access to all premium content
  • Ad-free browsing experience
  • Mobile-optimised reading
  • Weekly newsletters & digests
Pay via
M - PESA
VISA
Airtel Money
Secure Payments Kenya's most trusted newsroom since 1902
Support Independent Journalism

Stand With Bold Journalism.
Stand With The Standard.

Journalism can't be free because the truth demands investment. At The Standard, we invest time, courage and skills to bring you accurate, factual and impactful stories. Subscribe today and stand with us in the pursuit of credible journalism.

Pay via
M - PESA
VISA
Airtel Money
Secure Payment Kenya's most trusted newsroom since 1902

Follow The Standard on Google News

Related Topics