×
App Icon
The Standard e-Paper
Home To Bold Columnists
★★★★ - on Play Store
Download App

ALIYEKUWA GAVANA WA NAIROBI EVANS KIDERO AMEHUSISHWA NA UFUJAJI WA SHILINGI BILIONI 21 ZA KAUNTI YA NAIROBI

Aliyekuwa Gavana wa Nairobi, Evans Kidero ametuhumiwa kuchangia kupotea kwa shilingi bilioni 21 za serikali ya Kaunti ya Nairobi alipokuwa akihudumu katika wadhifa huo.

Kwa mujibu wa ripoti ya Shirika la Uhasibu la KPMG iliyokabidhiwa Gavana wa sasa, Mike Sonko masuala kadhaa yameibuliwa kukiwamo kufunguliwa kwa akaunti kisiri, kuchukuliwa kwa kodi kutumia vitabu vya risiti ambavyo haviwezi kukaguliwa na matumizi ambayo yalifanywa pasi na kutumia mfumo rasmi wa serikali wa IFMIS.

Get Full Access for Ksh299/Week.
Fact‑first reporting that puts you at the heart of the newsroom. Subscribe for full access.
  • Unlimited access to all premium content
  • Uninterrupted ad-free browsing experience
  • Mobile-optimized reading experience
  • Weekly Newsletters
  • MPesa, Airtel Money and Cards accepted
Already a subscriber? Log in