Please enable JavaScript to view advertisements.
×
App Icon
The Standard e-Paper
Smart Minds Choose Us
★★★★ - on Play Store
Download App

Azma ya Joe Nyagah yaungwa mkono na wagombea huru wenzake

Na Rosa Agutu
"Tuna imani ya kuibuka washindi wakati wa uchaguzi mkuu kwa kuwa Wakenya wengi wamechoshwa na serikali ya sasa". Kauli hiyo imetolewa na aliyekuwa mshauri wa Rais Uhuru Kenyatta Joe Nyagah alipotangaza rasmi kuwania urais akiwa mgombea huru.
Nyagah amesisitiza kuwa Kenya inahitaji mabadiliko makubwa kwani hakuna tofauti kati ya Muungano wa NASA na Chama cha Jubilee. Vilevile ameshirikiana na wagombea huru wengine wanaounga mkono azma yake, ambao kwa pamoja wamesisitiza kwamba Kenya inahitaji uongozi mpya.
David Munga ambaye mmoja wa wagombea huru amesema wananchi wanafaa kumchagua kiongozi atakayeleta mabadiliko nchini, wala sio kwa kuzingatia chama au kabila.

Premium Article

Get Full Access for Ksh299/Week.

Uncover the stories others won't tell. Subscribe now for exclusive access.
Continue Reading  →
What you get
  • Unlimited access to all premium content
  • Ad-free browsing experience
  • Mobile-optimised reading
  • Weekly newsletters & digests
Pay via
M - PESA
VISA
Airtel Money
Secure Payments Kenya's most trusted newsroom since 1902
Support Independent Journalism

Stand With Bold Journalism.
Stand With The Standard.

Journalism can't be free because the truth demands investment. At The Standard, we invest time, courage and skills to bring you accurate, factual and impactful stories. Subscribe today and stand with us in the pursuit of credible journalism.

Pay via
M - PESA
VISA
Airtel Money
Secure Payment Kenya's most trusted newsroom since 1902

Follow The Standard on Google News