The Standard Group Plc is a
multi-media organization with investments in media platforms spanning newspaper
print operations, television, radio broadcasting, digital and online services. The
Standard Group is recognized as a leading multi-media house in Kenya with a key
influence in matters of national and international interest.
Na Rosa Agutu
"Tuna imani ya kuibuka washindi wakati wa uchaguzi mkuu kwa kuwa Wakenya wengi wamechoshwa na serikali ya sasa". Kauli hiyo imetolewa na aliyekuwa mshauri wa Rais Uhuru Kenyatta Joe Nyagah alipotangaza rasmi kuwania urais akiwa mgombea huru.
Nyagah amesisitiza kuwa Kenya inahitaji mabadiliko makubwa kwani hakuna tofauti kati ya Muungano wa NASA na Chama cha Jubilee. Vilevile ameshirikiana na wagombea huru wengine wanaounga mkono azma yake, ambao kwa pamoja wamesisitiza kwamba Kenya inahitaji uongozi mpya.
David Munga ambaye mmoja wa wagombea huru amesema wananchi wanafaa kumchagua kiongozi atakayeleta mabadiliko nchini, wala sio kwa kuzingatia chama au kabila.
Premium Article
Get Full Access for Ksh299/Week.
Uncover the stories others won't tell. Subscribe now for exclusive access.
🔥 Easter Sale Ends Tonight!
Subscribe now and enjoy 50% off monthly and annual plans. Offer ends in…
Stand With Bold Journalism.
Stand With The Standard.
Journalism can't be free because the truth demands investment.
At The Standard, we invest time, courage and skills to bring you accurate,
factual and impactful stories. Subscribe today and stand with us in the
pursuit of credible journalism.