×
App Icon
The Standard e-Paper
Home To Bold Columnists
★★★★ - on Play Store
Download App

Mhasibu Mkuu wa serikali asema hatabanduka ofisini

Na Carren Omae

Huku bunge la Kitaifa likisubiria kuona iwapo litatii agizo la mahakama la kulizuia kuendela kujadili ombi la kumtaka Mhasibu Mkuu wa Serikali, Edward Ouko kuondolewa ofisini huenda mjadala kuhusu suala hilo ukachukua mkondo mwingine, kufuatia madai kwamba Kamati ya Fedha Bungeni ina njama ya kumwondoa ofisini.

Madai hayo yamerejelewa leo na Ouko huku akilalamikia jinsi utaratibu wa kushughulikia ombi hilo unavyoendeshwa.
Jinsi ilivyo miongoni mwa maafisa wa serikali wanaohusishwa na sakata mbalimbali, hali kumhusu Mhasibu Mkuu wa Serikali Edward Ouko haijakuwa tofauti. Ouko amekuwa mwepesi wa kuapa kutoondoka ofisini akisema hakuna uchunguzi unaoendelea dhidi yake.

Get Full Access for Ksh299/Week.
Uncover the stories others won’t tell. Subscribe now for exclusive access
  • Unlimited access to all premium content
  • Uninterrupted ad-free browsing experience
  • Mobile-optimized reading experience
  • Weekly Newsletters
  • MPesa, Airtel Money and Cards accepted
Already a subscriber? Log in