Please enable JavaScript to view advertisements.
×
App Icon
The Standard e-Paper
Join Thousands Daily
★★★★ - on Play Store
Download App

Wizara ya Ardhi yazionya kaunti na Mashirika ya Kidini kwa kuhujumu utendakazi wake

Na Suleiman Yeri

Wizara ya Ardhi imezishtumu serikali za Kaunti na Makundi ya kidini kwa kuhujumu juhudi zake za kuzitwaa ardhi za shule, hospitali na misitu zilizonyakuliwa.
Kulingana na Waziri Jacob Kaimenyi serikali nyingi za kaunti hazijafahamu kuwa hati miliki zilizokuwa zimekabidhiwa serikali za wilaya sasa zipo chini ya hazina kuu ya kitaifa.
Aidha waziri ameyashtumu makundi ya kidini kwa kukataa kutoa hatimiliki za shule za umma walizokuwa wakiziongoza na sasa hivi ziko chini ya serikali.
Kaimenyi ameongeza serikali inafanya kila juhudi kuhakikisha inazitwaa ardhi zilionyakuliwa na watu binafsi huku akidokeza kuwa sababu kuu ya ardhi za shule za umma kunyakuliwa ni kwa sababu zipo katika sehemu zenye uvutio mkubwa.
Wakati uo huo amesema kuwa kwa ushirikiano na Tume ya Kitaifa ya Ardhi na Wizara ya Afya wanazikagua ardhi za hospitali zote nchini ili kuhakikisha zinapata hati miliki.

Premium Article

Get Full Access for Ksh299/Week.

Uncover the stories others won't tell. Subscribe now for exclusive access.
Continue Reading  →
What you get
  • Unlimited access to all premium content
  • Ad-free browsing experience
  • Mobile-optimised reading
  • Weekly newsletters & digests
Pay via
M - PESA
VISA
Airtel Money
Secure Payments Kenya's most trusted newsroom since 1902
Support Independent Journalism

Stand With Bold Journalism.
Stand With The Standard.

Journalism can't be free because the truth demands investment. At The Standard, we invest time, courage and skills to bring you accurate, factual and impactful stories. Subscribe today and stand with us in the pursuit of credible journalism.

Pay via
M - PESA
VISA
Airtel Money
Secure Payment Kenya's most trusted newsroom since 1902

Follow The Standard on Google News

Related Topics

Jacob Kaimenyi