The Standard Group Plc is a
multi-media organization with investments in media platforms spanning newspaper
print operations, television, radio broadcasting, digital and online services. The
Standard Group is recognized as a leading multi-media house in Kenya with a key
influence in matters of national and international interest.
Mvutano unatishia kuzuka katika Chama cha Ford Kenya baada ya baadhi ya wajumbe kukana madai ya kumwidhinisha kiongozi wao ambaye pia ni mmoja wa vinara wa CORD, Moses Wetangula kuwania urais wakati wa uchaguzi mkuu ujao. Wakati wa kikao na wanahabari jijini Kisumu, wajumbe hao kutoka maeneo mbalimbali nchini wamempa Wetangula makataa ya siku kumi na nne kuandaa Kongamano la Kitaifa na Wajumbe kuwachagua viongozi wa chama, vilevile atakayewania urais. Ken Wafula ni Mwenyekiti wa Muda wa chama hicho.
Premium Article
Get Full Access for Ksh299/Week.
Uncover the stories others won't tell. Subscribe now for exclusive access.
🔥 Flash Sale !
Subscribe now and enjoy 50% off monthly and annual plans. Offer ends in…
Stand With Bold Journalism.
Stand With The Standard.
Journalism can't be free because the truth demands investment.
At The Standard, we invest time, courage and skills to bring you accurate,
factual and impactful stories. Subscribe today and stand with us in the
pursuit of credible journalism.