Please enable JavaScript to view advertisements.
×
App Icon
The Standard e-Paper
Stay Informed, Even Offline
★★★★ - on Play Store
Download App

''Hatujamuidhinisha Wetangula'' wasema wajumbe wa Ford Kenya

Na Carren Omae

Mvutano unatishia kuzuka katika Chama cha Ford Kenya baada ya baadhi ya wajumbe kukana madai ya kumwidhinisha kiongozi wao ambaye pia ni mmoja wa vinara wa CORD, Moses Wetangula kuwania urais wakati wa uchaguzi mkuu ujao. Wakati wa kikao na wanahabari jijini Kisumu, wajumbe hao kutoka maeneo mbalimbali nchini wamempa Wetangula makataa ya siku kumi na nne kuandaa Kongamano la Kitaifa na Wajumbe kuwachagua viongozi wa chama, vilevile atakayewania urais. Ken Wafula ni Mwenyekiti wa Muda wa chama hicho.

Premium Article

Get Full Access for Ksh299/Week.

Uncover the stories others won't tell. Subscribe now for exclusive access.
Continue Reading  →
What you get
  • Unlimited access to all premium content
  • Ad-free browsing experience
  • Mobile-optimised reading
  • Weekly newsletters & digests
Pay via
M - PESA
VISA
Airtel Money
Secure Payments Kenya's most trusted newsroom since 1902
Support Independent Journalism

Stand With Bold Journalism.
Stand With The Standard.

Journalism can't be free because the truth demands investment. At The Standard, we invest time, courage and skills to bring you accurate, factual and impactful stories. Subscribe today and stand with us in the pursuit of credible journalism.

Pay via
M - PESA
VISA
Airtel Money
Secure Payment Kenya's most trusted newsroom since 1902

Follow The Standard on Google News