Please enable JavaScript to view advertisements.
×
App Icon
The Standard e-Paper
Smart Minds Choose Us
★★★★ - on Play Store
Download App

KRA yanasa magari yaliyoingizwa humu nchini bila kulipiwa kodi

Na Mike Nyagwoka

Halmashauri ya Ukusanyaji Kodi Nchni, KRA inaendeleza uchunguzi dhidi ya magari matano yaliyonaswa katika Barabara ya Mombasa jana. Magari hayo, matatu aina ya Rangerover, moja aina ya Landcruiser V8 na moja aina ya Subaru yanaaminika kuingizwa nchini bila kulipiwa ushuru.
Magari hayo ni miongoni mwa 300 ambayo yamenaswa nchini mwaka huu kwa kuingizwa nchini bila kufuatwa kwa utaratibu uliowekwa.
Mapema mwezi huu, magari mawili yalinaswa katika kontena moja katika Bandari ya Mombasa yakiingizwa nchini kisiri huku ikibainika kwamba kontena hilo lilikuwa limesajiliwa kuwa lililobeba baiskeli. KRA imesema itaendelea kuimarisha doria dhidi ya biashara haramu ya kuingiza magari nchini bila kulipiwa ushuru.

Premium Article

Get Full Access for Ksh299/Week.

Fact-first reporting that puts you at the heart of the newsroom. Subscribe for full access.
Continue Reading  →
What you get
  • Unlimited access to all premium content
  • Ad-free browsing experience
  • Mobile-optimised reading
  • Weekly newsletters & digests
Pay via
M - PESA
VISA
Airtel Money
Secure Payments Kenya's most trusted newsroom since 1902
Support Independent Journalism

Stand With Bold Journalism.
Stand With The Standard.

Journalism can't be free because the truth demands investment. At The Standard, we invest time, courage and skills to bring you accurate, factual and impactful stories. Subscribe today and stand with us in the pursuit of credible journalism.

Pay via
M - PESA
VISA
Airtel Money
Secure Payment Kenya's most trusted newsroom since 1902

Follow The Standard on Google News

Related Topics

KRA Mombasa