The Standard Group Plc is a
multi-media organization with investments in media platforms spanning newspaper
print operations, television, radio broadcasting, digital and online services. The
Standard Group is recognized as a leading multi-media house in Kenya with a key
influence in matters of national and international interest.
Halmashauri ya Ukusanyaji Kodi Nchni, KRA inaendeleza uchunguzi dhidi ya magari matano yaliyonaswa katika Barabara ya Mombasa jana. Magari hayo, matatu aina ya Rangerover, moja aina ya Landcruiser V8 na moja aina ya Subaru yanaaminika kuingizwa nchini bila kulipiwa ushuru.
Magari hayo ni miongoni mwa 300 ambayo yamenaswa nchini mwaka huu kwa kuingizwa nchini bila kufuatwa kwa utaratibu uliowekwa.
Mapema mwezi huu, magari mawili yalinaswa katika kontena moja katika Bandari ya Mombasa yakiingizwa nchini kisiri huku ikibainika kwamba kontena hilo lilikuwa limesajiliwa kuwa lililobeba baiskeli. KRA imesema itaendelea kuimarisha doria dhidi ya biashara haramu ya kuingiza magari nchini bila kulipiwa ushuru.
Premium Article
Get Full Access for Ksh299/Week.
Bold Reporting Takes Time, Courage and Investment. Stand With Us.
🔥 Flash Sale !
Subscribe now and enjoy 50% off monthly and annual plans. Offer ends in…
Stand With Bold Journalism.
Stand With The Standard.
Journalism can't be free because the truth demands investment.
At The Standard, we invest time, courage and skills to bring you accurate,
factual and impactful stories. Subscribe today and stand with us in the
pursuit of credible journalism.