Please enable JavaScript to view advertisements.
×
App Icon
The Standard e-Paper
Home To Bold Columnists
★★★★ - on Play Store
Download App

Wanafunzi wahakikishiwa kupewa mikopo ya HELB

Na, Mike Nyagwoka

Bodi ya Mikopo ya Elimu ya Juu HELB imewahakikishia wanafunzi wote wanaojiunga na vyuo vikuu mwezi huu na mwezi ujao kuwa watapata mikopo hiyo ila itachelewa. Kwa mujibu wa Afisa Mkuu Mtendaji wa bodi hiyo, Charles Ringera, HELB imeomba orodha ya wanafunzi wote wanaotarajia kujiunga na vyuo ili fedha za mikopo zitayarishwe mapema.
Haya yanajiri huku bodi hiyo ikiongeza kiwango cha mikopo inayotolewa kwa wanafunzi, hadi shilingi elfu 40 kutoka shilingi elfu 35 kwa wanaopata kiwango cha chini zaidi. Aidha mkopo wa juu zaidi utawa shilingi elfu 60 kutoka shilingi elfu 50. Afisa Mkuu Mtendaji wa HELB, Charles Ringera amesema hatua hii imechukuliwa ili kuwalinda wanafunzi kutokana na kupanda kwa gharama ya maisha.
 

 

Premium Article

Get Full Access for Ksh299/Week.

Bold Reporting Takes Time, Courage and Investment. Stand With Us.
Continue Reading  →
What you get
  • Unlimited access to all premium content
  • Ad-free browsing experience
  • Mobile-optimised reading
  • Weekly newsletters & digests
Pay via
M - PESA
VISA
Airtel Money
Secure Payments Kenya's most trusted newsroom since 1902
Support Independent Journalism

Stand With Bold Journalism.
Stand With The Standard.

Journalism can't be free because the truth demands investment. At The Standard, we invest time, courage and skills to bring you accurate, factual and impactful stories. Subscribe today and stand with us in the pursuit of credible journalism.

Pay via
M - PESA
VISA
Airtel Money
Secure Payment Kenya's most trusted newsroom since 1902

Follow The Standard on Google News

Related Topics