The Standard Group Plc is a
multi-media organization with investments in media platforms spanning newspaper
print operations, television, radio broadcasting, digital and online services. The
Standard Group is recognized as a leading multi-media house in Kenya with a key
influence in matters of national and international interest.
Waziri wa Elimu Fred Matiang'i amewaagiza wakuu wa shule za umma kutowasajili wanafunzi kutoka shule ambazo zimeteketezwa siku za hivi karibuni. Matiang'i amesema hatua hiyo itasaida kuhakikisha wanafunzi waliohusika kwenye uharibifu wa mali katika shule zao wanawajibishwa. Amesema sharti wahusika wawasilishe barua kutoka kwa wakurugenzi wa elimu kwenye kaunti zao kabla ya kuruhusiwa kusajiliwa katika shule yoyote ile.
Wakati uo huo amewataka wanafunzi kutafuta njia mbadala za kuwasilisha malalamiko badala ya kuharibu mali shuleni. Vilevile ametoa makataa ya hadi Jumatano kwa wakuu wa elimu katika maeneo ambayo shule zimeteketezwa kuandaa ripoti kuhusu vyanzo vya visa hivyo.
Ameyasema haya baada ya kuizuru Shule ya Tengecha na ile ya Itierio ambazo mabweni yaliteketezwa na wanafunzi.
Na, Beatrice Maganga
Premium Article
Get Full Access for Ksh299/Week.
Fact-first reporting that puts you at the heart of the newsroom. Subscribe for full access.
🔥 Flash Sale !
Subscribe now and enjoy 50% off monthly and annual plans. Offer ends in…
Stand With Bold Journalism.
Stand With The Standard.
Journalism can't be free because the truth demands investment.
At The Standard, we invest time, courage and skills to bring you accurate,
factual and impactful stories. Subscribe today and stand with us in the
pursuit of credible journalism.