Please enable JavaScript to view advertisements.
×
App Icon
The Standard e-Paper
Stay Informed, Even Offline
★★★★ - on Play Store
Download App

Bodaboda wachangia kuongezeka kwa ajali

Na, Sophia Chinyezi

Wahudumu wa bodaboda wametajwa kuwa chanzo kikuu cha ajali za barabarani nchini, huku vifo mia tatu thelathini na nane vikiripotiwa tangu mwanzano mwa mwaka huu. Kwa mujibu wa takwimu za Wizara ya Uchukuzi na Mamlaka ya Usafiri na Usalama Barabarani NTSA, wahudumu hao huchangia asilimia ishirini ya vifo nchini kila mwaka.
Haya yameibuka wakati wa uzinduzi wa mpango wa Rapid Results Initiative kuhusu sheria za bodaboda za mwaka 2015. Hafla hiyo imefanyika katika Uwanja wa Kihoto mjini Naivasha.
Kwa mujibu wa Katibu wa Wizara ya Uchukuzi Irungu Nyakera, kufikia sasa, watu takribani mia sita wameaga dunia nchini kupitia ajali. Irungu aidha ameelezea wasiwasi kufuatia kuongeza kwa visa vya ajali na kusema kuna haja ya suala hilo kutatulia kwa haraka.

Premium Article

Get Full Access for Ksh299/Week.

Uncover the stories others won't tell. Subscribe now for exclusive access.
Continue Reading  →
What you get
  • Unlimited access to all premium content
  • Ad-free browsing experience
  • Mobile-optimised reading
  • Weekly newsletters & digests
Pay via
M - PESA
VISA
Airtel Money
Secure Payments Kenya's most trusted newsroom since 1902
Support Independent Journalism

Stand With Bold Journalism.
Stand With The Standard.

Journalism can't be free because the truth demands investment. At The Standard, we invest time, courage and skills to bring you accurate, factual and impactful stories. Subscribe today and stand with us in the pursuit of credible journalism.

Pay via
M - PESA
VISA
Airtel Money
Secure Payment Kenya's most trusted newsroom since 1902