The Standard Group Plc is a
multi-media organization with investments in media platforms spanning newspaper
print operations, television, radio broadcasting, digital and online services. The
Standard Group is recognized as a leading multi-media house in Kenya with a key
influence in matters of national and international interest.
Wahudumu wa bodaboda wametajwa kuwa chanzo kikuu cha ajali za barabarani nchini, huku vifo mia tatu thelathini na nane vikiripotiwa tangu mwanzano mwa mwaka huu. Kwa mujibu wa takwimu za Wizara ya Uchukuzi na Mamlaka ya Usafiri na Usalama Barabarani NTSA, wahudumu hao huchangia asilimia ishirini ya vifo nchini kila mwaka.
Haya yameibuka wakati wa uzinduzi wa mpango wa Rapid Results Initiative kuhusu sheria za bodaboda za mwaka 2015. Hafla hiyo imefanyika katika Uwanja wa Kihoto mjini Naivasha.
Kwa mujibu wa Katibu wa Wizara ya Uchukuzi Irungu Nyakera, kufikia sasa, watu takribani mia sita wameaga dunia nchini kupitia ajali. Irungu aidha ameelezea wasiwasi kufuatia kuongeza kwa visa vya ajali na kusema kuna haja ya suala hilo kutatulia kwa haraka.
Premium Article
Get Full Access for Ksh299/Week.
Uncover the stories others won't tell. Subscribe now for exclusive access.
🔥 Easter Sale Ends Tonight!
Subscribe now and enjoy 50% off monthly and annual plans. Offer ends in…
Stand With Bold Journalism.
Stand With The Standard.
Journalism can't be free because the truth demands investment.
At The Standard, we invest time, courage and skills to bring you accurate,
factual and impactful stories. Subscribe today and stand with us in the
pursuit of credible journalism.