Madktari wa wanyama wamekita kambi katika eneo la kinango huko pwani ili kutoa chanjo za bure kwa mbwa na paka katika sehemu hiyo. Zoezi hilo linaloendelea linalenga mbwa elfu hamsini katikasehemu hiyo ili kuzuia
kuambukizw kwa ugonjwa hatari wa kichaa cha mbwa ambao unambukizwa kutoka kwa wanyama hasa mbwa hadi kwa binadamu. Ugonjwa huo hauna tiba.