Mgombea apanda punda akijiwasilisha kwa IEBC Nyamira

Mwaniaji wa Useneta katika kaunti ya Nyamira kwa Chama cha Democratic Party, DP, Adams Mochenwa amewashangaza wengi baada ya kuwasili kwenye Ofisi ya Tume ya Uchaguzi IEBC akiwa amepanda punda ili kuidhinishwa kuwania nafasi hiyo.
 
Kijana huyo, Adams mwenye Umri wa miaka 25 amesema amelazimika Kupanda punda ikiwa ni njia mojawapo ya kudhihirisha unyenyekevu, amani na kujitolea kwake kwenye Shughuli ya utoaji huduma kwa wakazi wa kaunti hiyo.
 
Mochenwa ambaye ni mhandisi wa ujenzi wa barabara, amesema fedha ambazo angetumia katika msafara wake atazielekeza kwa wakfu wake ili kuwasaidia watu wasiojiweza kando na kuwalipia karo wanafunzi wanaotoka familia maskini.
Athletics
Kirui, Kibiwott to renew rivalry at Kip Keino Classic
Athletics
Experienced athletes set to face upcoming stars at Eldoret City Marathon
By Mose Sammy 13 hrs ago
Golf
Over 180 golfers to grace Mulembe tournament
By Ben Ahenda 19 hrs ago
Rugby
Cheetahs start training ahead of Super Series