×
App Icon
The Standard e-Paper
Home To Bold Columnists
★★★★ - on Play Store
Download Now

Mgombea apanda punda akijiwasilisha kwa IEBC Nyamira

Vocalize Pre-Player Loader

Audio By Vocalize

Mwaniaji wa Useneta katika kaunti ya Nyamira kwa Chama cha Democratic Party, DP, Adams Mochenwa amewashangaza wengi baada ya kuwasili kwenye Ofisi ya Tume ya Uchaguzi IEBC akiwa amepanda punda ili kuidhinishwa kuwania nafasi hiyo.
 
Kijana huyo, Adams mwenye Umri wa miaka 25 amesema amelazimika Kupanda punda ikiwa ni njia mojawapo ya kudhihirisha unyenyekevu, amani na kujitolea kwake kwenye Shughuli ya utoaji huduma kwa wakazi wa kaunti hiyo.
 
Mochenwa ambaye ni mhandisi wa ujenzi wa barabara, amesema fedha ambazo angetumia katika msafara wake atazielekeza kwa wakfu wake ili kuwasaidia watu wasiojiweza kando na kuwalipia karo wanafunzi wanaotoka familia maskini.
Premium Article

Get Full Access for Ksh299/Week.

Uncover the stories others won't tell. Subscribe now for exclusive access.
Continue Reading  →
What you get
  • Unlimited access to all premium content
  • Ad-free browsing experience
  • Mobile-optimised reading
  • Weekly newsletters & digests
Pay via
M - PESA
VISA
Airtel Money
Secure Payments Kenya's most trusted newsroom since 1902
By AFP 7 mins ago
Sports
African stars in Europe: Antoine Semenyo wins it for City
By Ben Ahenda 9 hrs ago
Boxing
Mixed results for top boxers as Police, KDF lead after first leg
By Joan Oyiela 23 hrs ago
Sports
Kipyegon storms to victory in DL opener
Sports
Kenya basks in 10,000m glory at African Senior Athletics event