Mageuzi Ya Polisi

Wizara ya usalama wa ndani imefanya mazungumzo yanayolenga kuundwa kwa jopo kazi la kitaifa kuhusiana na mabadiliko katika idara ya polisi wa kawaida  na wale wa utawala. Vilevile wizara hiyo imeashiria iko tayari kuwasilisha miswada miwili bungeni ule mswada wa utendakazi wa polisi na ule wa kamati ya utendakazi wa polisi.Hata hivyo, tofauti ziliibuka kati ya idara ya polisi na ile ya polisi wa utawala, kuhusiana usimamizi iwapo idara hizo zitawekwa pamoja.

Related Topics

Mageuzi Ya Polisi