Gumzo na Mwanaspoti Podcast: Moses Kiptanui; riadha hadi ufugaji-kwa jeraha
Published Dec. 13, 2021
00:00
00:00

Aliyekuwa bingwa wa dunia katika mbio za mita elfu tatu kuruka viunzi na maji, Moses Kiptanui anasema alipata jeraha hivyo kumlazimu kustaafu mapema. Katika mahojiano ya moja kwa moja na Ali Hassan Kauleni, Kiptanui anasema bado alikuwa na uwezo wa kuwakilisha taifa katika mashindano mbalimbali ya riadha lakini kutokana na jeraha alistaafu mapema.