Gumzo na Mwanaspoti Podcast: Edward Teco, Kupepeta Mpira kumenipandisha ndege
Published Mar. 20, 2022
00:00
00:00

Edward Teco alianza kupepeta mpira baada ya kupata jeraha uwanjani akiwa shule ya upili hivyo kumlazimisha kuanza Kupepeta mpira ili kuwafurahisha mashabiki wake. Edward ameshiriki mashindano ya Dunia ya Kupepeta Mpira na hata kukutana na baadhi ya mameneja barani Ulaya, akiwamo Pepe Guardiola wa Manchester City. Katika mazungumzo na mwanahabari wetu Walter Kinjo, Edward anaeleza alivyotembea katika mataifa mbalimbali kutokana na taaluma yake ya kupepeta mpira.