Gumzo na Mwanaspoti Podcast: Sheryl Aluoch (shabiki wa Gor), nilimwokoa mpenzi wangu
Published Mar. 05, 2022
00:00
00:00

Shabiki Sugu wa klabu ya Gor Mahia, Sheryl Aluoch kwa mara ya kwanza amezungumzia mvutano ambao ulishuhudiwa kati ya mashabiki wa klabu hiyo na walinzi katika Uwanja wa Kimataifa wa Kasarani mwaka wa.... Aluoch ambaye alionekana kwenye picha na video akiwa amebeba jiwe wakati wa mechi kati ya klabu ya Gor Mahia dhidi ya Vihiga Bullets anasema alilazimika kuingilia kati baada ya mpinziwe kupigwa bila sababu.