Gumzo na Mwanaspoti Podcast: Moses Kiptanui; Wanariadha wakongwe wametelekezwa. Sehemu 2
Published Dec. 21, 2021
00:00
00:00

Serikali haiwasaidii wanariadha wakongwe, licha ya kuliwakilisha taifa katika mashindano mbalimbali. Sikiliza podcast hii kuhusu mahojiano kati ya mwanahabari wetu Ali Hassan Kauleni na aliyekuwa bingwa wa dunia katika mbio za mita elfu tatu kuruka viunzi na maji, Moses Kiptanui.