Gumzo na Mwanaspoti Podcast;Kenya kuna Talanta, Twaha Mbarak
Published Jan. 18, 2022
00:00
00:00

Kwa mara ya kwanza tangu kubuniwa kwa kamati ya muda katika shirikisho la soka Fkf Twaha Mbaruk amezungumzia uongozi wa soka nchini. Katika mahojiano ya mioja kwa moja na Mwanahabari wetu Ali Hassan Kauleni. Twaha amesema Kenya kuna talanta na kwamba ana uwezo wa kuboresha soka hata zaidi.