Gumzo na Mwanaspoti Podcast: Chris Oguso (Polisi FC); maslahi ya wachezaji
Published Feb. 20, 2022
00:00
00:00

Afisa Mkuu Mtendaji wa Klabu ya Police FC, Chris Oguso anasema wachezaji wengi ambao wanashiriki Ligi Kuu ya FKF wana matumaini ya kujiunga na klabu hiyo kutokana na sheria vilevile maslahi ya wachezaji. Katika mahojiano na wanahabari wetu, Walter Kinjo pamoja na Rodgers Eshitemi, Oguso anasema klabu hiyo imefanya kipaumbele maslahi ya wachezaji ili kuboresha soka na kurejesha imani ya mashabiki kwa Ligi Kuu ya FKF.