The Standard Group Plc is a
multi-media organization with investments in media platforms spanning newspaper
print operations, television, radio broadcasting, digital and online services. The
Standard Group is recognized as a leading multi-media house in Kenya with a key
influence in matters of national and international interest.
Gavana wa Mombasa Abdulswamad Shariff Nassir akiongoza shughuli ya ugavi wa chakula kwa watoto wa chekechekea. [Robert Menza, Standard]
Serikali ya Kaunti ya Mombasa imeimarisha juhudi zake za kuboresha elimu ya chekechea (ECDE) kwa kuwekeza katika lishe shuleni, ajira ya walimu na uboreshaji wa miundombinu, hatua ambazo zimeanza kuleta mabadiliko chanya kwa maelfu ya watoto kote kaunti hiyo.
Kupitia mpango wa lishe shuleni unaotekelezwa bila malipo, zaidi ya watoto 12,000 wanaosoma katika vituo vya ECDE wananufaika na chakula cha kila siku. Wadadau wa elimu wanasema mpango huo umeongeza mahudhurio ya wanafunzi na kupunguza visa vya utoro, hasa katika maeneo yenye familia zisizojiweza.
Premium Article
Get Full Access for Ksh299/Week.
Uncover the stories others won't tell. Subscribe now for exclusive access.
🔥 Flash Sale !
Subscribe now and enjoy 50% off annual plans. Offer ends in…
Stand With Bold Journalism.
Stand With The Standard.
Journalism can't be free because the truth demands investment.
At The Standard, we invest time, courage and skills to bring you accurate,
factual and impactful stories. Subscribe today and stand with us in the
pursuit of credible journalism.