Please enable JavaScript to view advertisements.
×
App Icon
The Standard e-Paper
Join Thousands Daily
★★★★ - on Play Store
Download App

Mageuzi ya elimu ya chekechea yaanza kuzaa matunda Mombasa

Gavana wa Mombasa Abdulswamad Shariff Nassir akiongoza shughuli ya ugavi wa chakula kwa watoto wa chekechekea. [Robert Menza, Standard]

Serikali ya Kaunti ya Mombasa imeimarisha juhudi zake za kuboresha elimu ya chekechea (ECDE) kwa kuwekeza katika lishe shuleni, ajira ya walimu na uboreshaji wa miundombinu, hatua ambazo zimeanza kuleta mabadiliko chanya kwa maelfu ya watoto kote kaunti hiyo.

Kupitia mpango wa lishe shuleni unaotekelezwa bila malipo, zaidi ya watoto 12,000 wanaosoma katika vituo vya ECDE wananufaika na chakula cha kila siku. Wadadau wa elimu wanasema mpango huo umeongeza mahudhurio ya wanafunzi na kupunguza visa vya utoro, hasa katika maeneo yenye familia zisizojiweza.

Premium Article

Get Full Access for Ksh299/Week.

Uncover the stories others won't tell. Subscribe now for exclusive access.
Continue Reading  →
What you get
  • Unlimited access to all premium content
  • Ad-free browsing experience
  • Mobile-optimised reading
  • Weekly newsletters & digests
Pay via
M - PESA
VISA
Airtel Money
Secure Payments Kenya's most trusted newsroom since 1902
Support Independent Journalism

Stand With Bold Journalism.
Stand With The Standard.

Journalism can't be free because the truth demands investment. At The Standard, we invest time, courage and skills to bring you accurate, factual and impactful stories. Subscribe today and stand with us in the pursuit of credible journalism.

Pay via
M - PESA
VISA
Airtel Money
Secure Payment Kenya's most trusted newsroom since 1902