Please enable JavaScript to view advertisements.
×
App Icon
The Standard e-Paper
Stay Informed, Even Offline
★★★★ - on Play Store
Download App

DCI kuchunguza sakata ya ulaghai wa mpango wa masomo, Uasn Gishu

Idara ya Upelelezi DCI imeanzisha uchunguzi kufuatia madai ya ulaghai wa mpango wa masomo kwa wanafunzi kutoka Kaunti ya Uasin Gishu waliofaa kusomea nchini Finland na Canada.

Katika taarifa yake jioni hii DCI imesema hatua hiyo inafuatia malalamiko kutoka kwa wakazi wanaodai kulaghaiwa mamilioni ya pesa wakiahidiwa kuwa wanao wangefadhiliwa kusomea nchini humo.

Premium Article

Get Full Access for Ksh299/Week.

Uncover the stories others won't tell. Subscribe now for exclusive access.
Continue Reading  →
What you get
  • Unlimited access to all premium content
  • Ad-free browsing experience
  • Mobile-optimised reading
  • Weekly newsletters & digests
Pay via
M - PESA
VISA
Airtel Money
Secure Payments Kenya's most trusted newsroom since 1902