Please enable JavaScript to view advertisements.
×
App Icon
The Standard e-Paper
Kenya’s Boldest Voice
★★★★ - on Play Store
Download App

Maandalizi ya ziara ya Rais William Ruto katika eneo la Nyanza yakaribia kukamilika

Maandalizi yanaendelea kabla ya ziara ya siku mbili ya Rais William Ruto katika eneo la Nyanza.

Akizungumza na wanahabari katika Ikulu ya Rais ya Kisumu Msemaji wa Ikulu Hussein Mohamed amesema kwamba ziara ya siku mbili katika eneo la Nyanza inalenga kutimiza baadhi ya ahadi alizotoa kwa wakazi wa eneo hilo hapo awali.

Hussein aidha amepuzilia mbali hofu kwamba hakuna fedha za kutosha za kugharamia miradi mbalimbali ya kimaendeleo akisema kuna mikakati maalum ya kufadhili miradi hiyo.

Premium Article

Get Full Access for Ksh299/Week.

Bold Reporting Takes Time, Courage and Investment. Stand With Us.
Continue Reading  →
What you get
  • Unlimited access to all premium content
  • Ad-free browsing experience
  • Mobile-optimised reading
  • Weekly newsletters & digests
Pay via
M - PESA
VISA
Airtel Money
Secure Payments Kenya's most trusted newsroom since 1902
Support Independent Journalism

Stand With Bold Journalism.
Stand With The Standard.

Journalism can't be free because the truth demands investment. At The Standard, we invest time, courage and skills to bring you accurate, factual and impactful stories. Subscribe today and stand with us in the pursuit of credible journalism.

Pay via
M - PESA
VISA
Airtel Money
Secure Payment Kenya's most trusted newsroom since 1902

Related Topics

["Nyanza"]