The Standard Group Plc is a
multi-media organization with investments in media platforms spanning newspaper
print operations, television, radio broadcasting, digital and online services. The
Standard Group is recognized as a leading multi-media house in Kenya with a key
influence in matters of national and international interest.
Maandalizi yanaendelea kabla ya ziara ya siku mbili ya Rais William Ruto katika eneo la Nyanza.
Akizungumza na wanahabari katika Ikulu ya Rais ya Kisumu Msemaji wa Ikulu Hussein Mohamed amesema kwamba ziara ya siku mbili katika eneo la Nyanza inalenga kutimiza baadhi ya ahadi alizotoa kwa wakazi wa eneo hilo hapo awali.
Hussein aidha amepuzilia mbali hofu kwamba hakuna fedha za kutosha za kugharamia miradi mbalimbali ya kimaendeleo akisema kuna mikakati maalum ya kufadhili miradi hiyo.
Premium Article
Get Full Access for Ksh299/Week.
Bold Reporting Takes Time, Courage and Investment. Stand With Us.
🔥 Easter Sale Ends Tonight!
Subscribe now and enjoy 50% off monthly and annual plans. Offer ends in…
Stand With Bold Journalism.
Stand With The Standard.
Journalism can't be free because the truth demands investment.
At The Standard, we invest time, courage and skills to bring you accurate,
factual and impactful stories. Subscribe today and stand with us in the
pursuit of credible journalism.