Please enable JavaScript to view advertisements.
×
App Icon
The Standard e-Paper
Home To Bold Columnists
★★★★ - on Play Store
Download App

Wakazi wa mtaa wa Kibera hawatafidiwa ili kutoa nafasi kwa ujenzi wa barabara ya Ngong-Kungu Karumba-Lang’ata

Wakazi wa mtaa wa Kibera hawatafridiwa ili kutoa nafasi kwa ujenzi wa barabara ya Ngong Road-Kungu Karumba-Lang’ata. Uamuzi huo umetangazwa mapema leo na Tume ya Kitaifa ya Ardhi NLC, Tume ya Kitaifa ya Kutetea Haki za Kibinadamu KNCHR na Mamlaka ya Barabara Kuu Nchini KURA. Tume hizo mbili zimesema kuwa ardhi hiyo ni ya serikali na kwamba mradi huo utaendelea ilivyopangwa. Naibu Mwenyekiti wa NLC Abigael Mbagaya amesema wamiliki wa majumba ambayo yako katika shamba hilo la ekari kumi pekee ndio watakaofidiwa.

Kauli yake imeungwa mkono na Mwenyekiti wa KNCHR Kagwiria Mbogori ambaye amepuuza madai kuwa mradi huo utaiathiri ardhi ya ekari 288 iliyotolewa kwa watu wa jamii ya Wanubi. Naibu Mkurugenzi wa KURA anayehusika na masuala ya majumba Mhandisi Tomothy Nyamboi amesema wamepewa jukumu la kuutekeleza mradi huo wa shilingi bilioni 2 ambao unatarajiwa kupunguza msongamano wa magari kwenye barabara za Mbagathi, Ngong ma Lang'ata. Nyamboi ameyasema hayo wakati wa mkutano wa washikadau kati ya KURA, KNCHR, NLC na wakazi.

Premium Article

Get Full Access for Ksh299/Week.

Uncover the stories others won't tell. Subscribe now for exclusive access.
Continue Reading  →
What you get
  • Unlimited access to all premium content
  • Ad-free browsing experience
  • Mobile-optimised reading
  • Weekly newsletters & digests
Pay via
M - PESA
VISA
Airtel Money
Secure Payments Kenya's most trusted newsroom since 1902
Support Independent Journalism

Stand With Bold Journalism.
Stand With The Standard.

Journalism can't be free because the truth demands investment. At The Standard, we invest time, courage and skills to bring you accurate, factual and impactful stories. Subscribe today and stand with us in the pursuit of credible journalism.

Pay via
M - PESA
VISA
Airtel Money
Secure Payment Kenya's most trusted newsroom since 1902

Follow The Standard on Google News

Related Topics