Please enable JavaScript to view advertisements.
×
App Icon
The Standard e-Paper
Home To Bold Columnists
★★★★ - on Play Store
Download App

JSC yawachunguza maafisa wa mahakama ambao awali wakisiliza kesi ya Paul Mackenzie

Sakata ya mahubiri yenye itakadi kali inayomkabili Mchungaji mwenye utata wa Kanisa la Good News International Paul Mackenzie sasa imechukua mkondo mpya baada ya Tume ya Huduma za Mahakama JSC kuanzisha uchunguzi kuhusu maafisa wake waliokuwa wakizisikiliza kesi dhidi ya mchungaji huyo.

Katika taarifa, JSC imesema inazikagua rekodi za faili za maamuzi ya kesi zote dhidi ya Mackenzie kubaini iwapo palikuwapo na dosari katika kufanya maamuzi.

Premium Article

Get Full Access for Ksh299/Week.

Fact-first reporting that puts you at the heart of the newsroom. Subscribe for full access.
Continue Reading  →
What you get
  • Unlimited access to all premium content
  • Ad-free browsing experience
  • Mobile-optimised reading
  • Weekly newsletters & digests
Pay via
M - PESA
VISA
Airtel Money
Secure Payments Kenya's most trusted newsroom since 1902

Follow The Standard on Google News