×
App Icon
The Standard e-Paper
Informed Minds Prefer The Standard
★★★★ - on Play Store
Download Now
×
The Standard Group Plc is a multi-media organization with investments in media platforms spanning newspaper print operations, television, radio broadcasting, digital and online services. The Standard Group is recognized as a leading multi-media house in Kenya with a key influence in matters of national and international interest.
  • Standard Group Plc HQ Office,
  • The Standard Group Center,Mombasa Road.
  • P.O Box 30080-00100,Nairobi, Kenya.
  • Telephone number: 0203222111, 0719012111
  • Email: [email protected]

Police man killed in Daadab attack

Living

Afisa mmoja wa kikosi cha polisi amefariki na wenzake wengine wawili kujeruhiwa vibaya baada ya bomu la kuzikwa ardhinilinalodaiwa kuwekwa na wanamgambo wa Al shabab kulipuka huko Hagadera katika kambi ya Daadab. Bomu hilo linasemekana kufukiwa kando kando mwa barabara . Kisa hiki kimejiri wakati ambapo mashambulizi sawia na haya yamekuwa yakishuhudiwa katika siku za hivi karibuni katika maeneo ya Garissa, Wajir na hata Mandera huku uvamizi huo ukidaiwa kutekelezwa na wanachama wa kundi la Al shabab.

Related Topics


.

Trending Now

.

Popular this week

.

Similar Articles

.

Recommended Articles