Afisa mmoja wa utawala amewaua kwa kuwapiga risasi watu wawili katika baa moja lililoko katika eneo la Dagoreti. Mashahidi wanadai afisa huyo aliwafumania watu hao na kuwapiga risasi baada ya kupandwa na mori alipofurushwa na meneja wa baa hiyo alipozua vurugu.nduguye marehemu anadai kuwa mwendazake alikuwa mlemavu na alikumbana na kifo chake alipokuwa akijificha kwenye kibanda kinachopakana na baa hiyo baada ya afisa huyo kuanza kufyatua risasi kiholela.tayari afisa huyo ametiwa mbaroni huku uchunguzi kuhusiana na kisa hicho ukiendelea.
Bar shoot out Dagoretti - Swahili
Living
By | 14 years ago | 1 Min read
.
Trending Now
- Watu 36 wauliwa katika shambulizi la kigaidi Uturuki
- Why financial clarity matters more than a perfect budget
- The razor-thin line that divides Gachagua and Mudavadi duties
- Kasavuli: The trailblazing queen from Zululu
- Find your happiness: Don't sweat the small stuff
- Justice Lenaola: Uhuru did not kickstart the BBI process
- Did you know mangoes can cause sickness?
- Tricks new breed of men use to live in women’s houses
- Fred Ngatia: Election petition a work of fiction and conspiracy
- 7 self care tips for every woman
.
Popular this week
- Everyday habits that can help you build long-term wealth
- OPINION: No texts, no flowers from these sons of Beelzebub
- International Women's Day: Women who rise, lift and lead
- Make your home smell amazing in five easy ways!
- International Women's Day: Colours that tell the story of women's rights
- When should I go for breast cancer screening?
- Easy recipe: Coconut roast chicken with browned onions
- Simple tricks to help you elevate a one-colour suit
- Ways parents can help children set New Year resolutions
- How to offer support to a loved one who has been financially abused
.
Similar Articles
.
The Standard Group Plc is a multi-media organization with investments in media
platforms spanning newspaper print
operations, television, radio broadcasting, digital and online services. The
Standard Group is recognized as a
leading multi-media house in Kenya with a key influence in matters of national
and international interest.