Afisa mmoja wa utawala amewaua kwa kuwapiga risasi watu wawili katika baa moja lililoko katika eneo la Dagoreti. Mashahidi wanadai afisa huyo aliwafumania watu hao na kuwapiga risasi baada ya kupandwa na mori alipofurushwa na meneja wa baa hiyo alipozua vurugu.nduguye marehemu anadai kuwa mwendazake alikuwa mlemavu na alikumbana na kifo chake alipokuwa akijificha kwenye kibanda kinachopakana na baa hiyo baada ya afisa huyo kuanza kufyatua risasi kiholela.tayari afisa huyo ametiwa mbaroni huku uchunguzi kuhusiana na kisa hicho ukiendelea.
Bar shoot out Dagoretti - Swahili
Living
By | 12 years ago | 1 Min read
.
Trending Now
- Easy recipe: Easter simnel cake
- Easy recipe: Easter ham
- Staycation ideas you should try this Easter Holiday
- What's the story behind Easter eggs?
- My daddy is my lover: He broke my virginity
- Making homemade butter
- Wellness tips: Sleep better with these indoor plants
- A positive body image can boost mental health
- Why men prefer dating petite women
- Anne Hathaway opens up on miscarriage while playing pregnant role onstage
.
Popular this week
- Easy recipe: Easter ham
- Easy recipe: Easter simnel cake
- What's the story behind Easter eggs?
- Anne Hathaway opens up on miscarriage while playing pregnant role onstage
- Staycation ideas you should try this Easter Holiday
- Self love: Five things you can do alone this Easter
- Which one is better? Animal or plant protein?
- Spend the Easter Holiday at home with bae
- My daddy is my lover: He broke my virginity
- Easy recipe: Creamy butter chicken
.
Similar Articles
.