×
The Standard Group Plc is a multi-media organization with investments in media platforms spanning newspaper print operations, television, radio broadcasting, digital and online services. The Standard Group is recognized as a leading multi-media house in Kenya with a key influence in matters of national and international interest.
  • Standard Group Plc HQ Office,
  • The Standard Group Center,Mombasa Road.
  • P.O Box 30080-00100,Nairobi, Kenya.
  • Telephone number: 0203222111, 0719012111
  • Email: [email protected]

Bar shoot out Dagoretti - Swahili

Living

Afisa mmoja wa utawala amewaua kwa kuwapiga risasi watu wawili katika baa moja lililoko katika eneo la Dagoreti. Mashahidi wanadai afisa huyo aliwafumania watu hao na kuwapiga risasi baada ya kupandwa na mori alipofurushwa na meneja wa baa hiyo alipozua vurugu.nduguye marehemu anadai kuwa mwendazake alikuwa mlemavu na alikumbana na kifo chake alipokuwa akijificha kwenye kibanda kinachopakana na baa hiyo baada ya afisa huyo kuanza kufyatua risasi kiholela.tayari afisa huyo ametiwa mbaroni huku uchunguzi kuhusiana na kisa hicho ukiendelea.

Related Topics


.

Similar Articles

.

Recommended Articles