Wabunge hii leo wameibua tena suala la ajira kwa wafanyikazi katika mabaraza ya miji ikihofiwa kuwa huenda baadhi ya madiwani wakapoteza ajira pindi serikali za ugatuzi zitakapobuniwa.hili limechochewa na pendekezo la kupunguza idadi ya wadi zilizoko lakini waziri wa serikali za wilaya musalia mudavadi ametoa hakikisho kwamba ingawa baadhi ya wadi zitawekwa pamoja hakuna yeyote atakayepoteza ajira.mbali na hayo jopokazi linaloshughulikia serikali za ugatuzi limeahidi kufanya mkutano na wizara ya fedha ili kutafuta mwafaka kuhusiana na tofauti zinazozingira miswada tofauti ambayo wameikabidhi tume ya utekelezaji wa katiba kuhusiana na sheria zitakazodhibiti mgao wa fedha za umma.
Devolution conference
Living
By | 14 years ago | 1 Min read
.
Trending Now
- From Dandora's dusty fields to Texas success: Mary Macharia diaspora journey inspires many
- Mega crocodile farm, where 110-year-old ‘Daddy’ croc lives
- Banana, the happy fruit rich in energy
- Wanjiku Njenga-Njue’s tale on how kiondos help fill her family’s basket
- Why mixing drugs and alcohol could be your biggest health gamble
- From zero in 2013 to seven governors, women prove their mettle in election
- We met in war but love triumphed
- 4 signs she is interested in you
- Caring for your cornrows 'lines'
- Diaspora inclusion key to growing national cake this year
.
Popular this week
- What father's protection really means for child's emotional and psychological growth
- Connection between childhood attachment and adult relationship patterns
- Why men need stronger support systems more than ever
- From Dandora's dusty fields to Texas success: Mary Macharia diaspora journey inspires many
- What you need to know about anhedonia and how to recover from it
- Are you getting enough sleep as a mother or just surviving?
- Financial habits that create long-term family security
- Why coffee brown is the new fashion favourite
- I'm worried my kids are heading down the wrong path
- The best time of the day to see your doctor
.
Similar Articles
.
The Standard Group Plc is a multi-media organization with investments in media
platforms spanning newspaper print
operations, television, radio broadcasting, digital and online services. The
Standard Group is recognized as a
leading multi-media house in Kenya with a key influence in matters of national
and international interest.