×
App Icon
The Standard e-Paper
Home To Bold Columnists
★★★★ - on Play Store
Download Now
×
The Standard Group Plc is a multi-media organization with investments in media platforms spanning newspaper print operations, television, radio broadcasting, digital and online services. The Standard Group is recognized as a leading multi-media house in Kenya with a key influence in matters of national and international interest.
  • Standard Group Plc HQ Office,
  • The Standard Group Center,Mombasa Road.
  • P.O Box 30080-00100,Nairobi, Kenya.
  • Telephone number: 0203222111, 0719012111
  • Email: [email protected]

Devolution conference

Living
Wabunge hii leo wameibua tena suala la ajira kwa wafanyikazi katika mabaraza ya miji ikihofiwa kuwa huenda baadhi ya madiwani wakapoteza ajira pindi serikali za ugatuzi zitakapobuniwa.hili limechochewa na pendekezo la kupunguza idadi ya wadi zilizoko lakini waziri wa serikali za wilaya musalia mudavadi ametoa hakikisho kwamba ingawa baadhi ya wadi zitawekwa pamoja hakuna yeyote atakayepoteza ajira.mbali na hayo jopokazi linaloshughulikia serikali za ugatuzi limeahidi kufanya mkutano na wizara ya fedha ili kutafuta mwafaka kuhusiana na tofauti zinazozingira miswada tofauti ambayo wameikabidhi tume ya utekelezaji wa katiba kuhusiana na sheria zitakazodhibiti mgao wa fedha za umma.

Related Topics


.

Trending Now

.

Popular this week

.

Similar Articles

.

Recommended Articles