Serikali imetangaza kuwa hakuna mkenya atakayekosa chakula hata iwapo taifa linapitia kipindi kigumu cha baa la njaa, hii ni licha ya makali ya njaa kutokana na kiangazi katika sehemu kadhaa humu nchini kuzidi kuwaathiri wananchi na wengine kulazimika kula matunda ya mwitu huku baadhi ya watoto wakikosa kuhudhuria shule katika baadhi ya maeneo kutokana na njaa. Frank Otieno anatufungulia taarifa zetu kwa kuangazia jinsi hali inavyozidi kuwa mbaya, huku kwengineko vyakula vya msaada vinavyopelekwa katika baadhi ya sehemu hizo vimeripotiwa kutoweka katika hali ya kutatanisha.
Athari Za Ukame
Living
By | 15 years ago | 1 Min read
.
Trending Now
- Man caught cheating with maid - and his wife may go to prison for exposing him
- 10 Signs you have overstayed in Nairobi
- IN SEARCH OF SAFE LANDING: South Africa ready for Wales showdown
- Vera Sidika is ‘very st*pid’ - Orie Rogo
- ARSENAL: Sanchez to become best-paid Gunner
- Crochet is everywhere! Here's how to wear it right
- Make food toddlers will eat without a fight
- The highs and lows of keeping an expectant house help
- Comedienne Wilbroda narrates her life journey in comedy
- Easy recipes: Viazi vya rojo (potatoes in sauce)
.
Popular this week
- Transform your bedroom into a sleep sanctuary
- How to style chunky rings for a modern, effortless look
- Return of 'analogue hobbies' in a digital age
- 'I live for myself': Why Ainam Chamere Ashley chose tubal ligation at 24
- Even parents need refresher courses
- How to help children process the bias they hear in public
- Stress at work after the maternity leave
- Am I dating someone or walking on eggshells?
- Why many mothers feel burnt out and how boundaries can help
- Woman who 'can see dead people' reveals her powers helped save her own daughter's life
.
Similar Articles
.
The Standard Group Plc is a multi-media organization with investments in media
platforms spanning newspaper print
operations, television, radio broadcasting, digital and online services. The
Standard Group is recognized as a
leading multi-media house in Kenya with a key influence in matters of national
and international interest.