×
App Icon
The Standard e-Paper
Home To Bold Columnists
★★★★ - on Play Store
Download Now
×
The Standard Group Plc is a multi-media organization with investments in media platforms spanning newspaper print operations, television, radio broadcasting, digital and online services. The Standard Group is recognized as a leading multi-media house in Kenya with a key influence in matters of national and international interest.
  • Standard Group Plc HQ Office,
  • The Standard Group Center,Mombasa Road.
  • P.O Box 30080-00100,Nairobi, Kenya.
  • Telephone number: 0203222111, 0719012111
  • Email: [email protected]

Athari Za Ukame

Living

Serikali imetangaza kuwa hakuna mkenya atakayekosa chakula hata iwapo taifa linapitia kipindi kigumu cha baa la njaa, hii ni licha ya makali ya njaa kutokana na kiangazi katika sehemu kadhaa humu nchini kuzidi kuwaathiri wananchi na wengine kulazimika kula matunda ya mwitu huku baadhi ya watoto wakikosa kuhudhuria shule katika baadhi ya maeneo kutokana na njaa.  Frank Otieno anatufungulia taarifa zetu kwa kuangazia jinsi hali inavyozidi kuwa mbaya, huku kwengineko vyakula vya msaada vinavyopelekwa   katika baadhi ya sehemu hizo vimeripotiwa kutoweka katika hali ya kutatanisha.

Related Topics


.

Trending Now

.

Popular this week

.

Similar Articles

.

Recommended Articles