×
App Icon
The Standard e-Paper
Home To Bold Columnists
★★★★ - on Play Store
Download Now
×
The Standard Group Plc is a multi-media organization with investments in media platforms spanning newspaper print operations, television, radio broadcasting, digital and online services. The Standard Group is recognized as a leading multi-media house in Kenya with a key influence in matters of national and international interest.
  • Standard Group Plc HQ Office,
  • The Standard Group Center,Mombasa Road.
  • P.O Box 30080-00100,Nairobi, Kenya.
  • Telephone number: 0203222111, 0719012111
  • Email: [email protected]

Athari Za Changaa

Living

Athari na hatari za pombe haramu ya chang’aa iliyonywewa mtaani Kibera- laini saba mwishoni mwa wiki  zingali hadi sasa zinadhihirika miongozi mwa waliokunywa kileo hicho hatari. Frank Otieno anaendelea kufuatilia  na hii leo amebaini kwamba  watu wangali wanaaga dunuia, wengine wakipofuka na kukosa uwezo wa kuona ilhali wengine wanasemekana kuumia mafichoni na huenda idadi ya walioaga ambayo imekwea hadi watu 23 hii leo ikaongezeka hata zaidi.

Related Topics


.

Similar Articles

.

Recommended Articles