.
News
Kenya kuondoa maafisa wake wa polisi Haiti
Waziri mwenye Mamlaka Makuu, Musalia Mudavadi ametangaza kuwa maafisa wa polisi wa Kenya waliokuwa wametumwa nchini Haiti sasa wataanza kurejea nyumbani
By Suleiman Kagwe
1w ago
Mbunge wa Kiharu Ndindi Nyoro amekosoa mpango wa uuzaji wa hisa kwa umma (IPO) wa Kampuni ya Kenya Pipeline (KPC), akidai kuwa haukuendeshwa kwa misingi ya soko
By Robert Menza
1w ago
By Robert Menza
2w ago
By Robert Menza na Esther Kirong
2w ago
By Robert Menza
2w ago
By Robert Menza
2w ago
Umoja wa Ulaya umetangaza euro milioni 63, sawa na takriban shilingi bilioni 9.7, kwa ajili ya msaada wa kibinadamu kusaidia jamii zilizo katika mazingira magumu Somalia.
By Robert Menza
2w ago
Mahakama imeelezwa kuwa uchambuzi wa data za simu umebaini kile wachunguzi wanachokitaja kama mtandao wa mawasiliano uliopangwa kati ya Paul Mackenzie na kundi lake la usalama
By Robert Menza
2w ago
Wanasayansi wamegundua chanzo halisi cha tatizo adimu sana la kuganda kwa damu lililohusishwa na baadhi ya chanjo za COVID-19 zinazotumia kirusi aina ya adenovirus
By Suleiman Kagwe
1mo ago
Viongozi wakuu wa Muungano wa Upinzani wamemshutumu Inspekta Jenerali wa Polisi, Douglas Kanja, kwa kupuuza mkutano muhimu wa kiusalama
By Suleiman Kagwe
1mo ago
Maafisa wa polisi katika eneo la Athi River, Kaunti ya Machakos, wamefanikiwa kukamata washukiwa wawili wanaoaminika kuwa wanachama wa genge lenye vijana 15
By Patel Mulevu
1mo ago
Serikali ya Kitaifa imetenga shilingi bilioni mbili kwa fidia ya ardhi na shilingi milioni 838 kwa ajili ya kuhamisha wafanyabiashara, katika juhudi za kuharakisha ujenzi
By Robert Menza
1mo ago
Mswada kuhusu mabadiliko katika sekta ya elimu ya juu humu nchini ambao umeidhinishwa na baraza la mawaziri huku ukisubiri hatma ya wabunge umeibua hisia mseto
By Patel Mulevu
1mo ago
Vifo vya akina mama wajawazito vimepungua kwa kiasi kikubwa katika Kaunti ya Kisii, kufuatia utekelezaji wa mpango wa kuimarisha mfumo wa afya
By Robert Menza
1mo ago
Serikali imetangaza kaunti 14 kuwa miongoni mwa zilizoathirika zaidi na kiangazi kufuatia mvua chache iliyonyesha msimu uliopita.
By Suleiman Kagwe na Patel Mulevu
1mo ago
Ukame mkali umeacha zaidi ya Wakenya milioni mbili wakikabiliwa na njaa, huku jamii za wafugaji katika eneo la Kaskazini Mashariki zikionekana kuathirika zaidi
By Suleiman Kagwe
1mo ago
.
The Standard Group Plc is a multi-media organization with investments in media
platforms spanning newspaper print
operations, television, radio broadcasting, digital and online services. The
Standard Group is recognized as a
leading multi-media house in Kenya with a key influence in matters of national and
international interest.