×
The Standard Group Plc is a multi-media organization with investments in media platforms spanning newspaper print operations, television, radio broadcasting, digital and online services. The Standard Group is recognized as a leading multi-media house in Kenya with a key influence in matters of national and international interest.
  • Standard Group Plc HQ Office,
  • The Standard Group Center,Mombasa Road.
  • P.O Box 30080-00100,Nairobi, Kenya.
  • Telephone number: 0203222111, 0719012111
  • Email: [email protected]
.

News

Kenya imetakiwa kuchukua hatua za haraka kukabiliana na tishio la usugu wa dawa

KEMRI yaonya kuwa usugu wa dawa (antimicrobial resistance) ni tishio kubwa kwa utekelezaji wa mpango wa afya kwa wote, usalama wa afya ya taifa, maandalizi ya majanga ya kiafya.
By Robert Menza 14h ago
https://cdn.standardmedia.co.ke/images/articles/thumbnails/9O0Rfz9PAljutHkSxdbQkzWV1scyAmnxLxqDgXdc.jpg
Wakaazi hao wanasema bwawa hilo limekua lenye usaidizi mkubwa kwa jamii ya Tala kwa muda wa zaidi ya miaka 90 tangu lichimbwe.
By Patel Mulevu 15h ago
Mahakama imeamuru bilionea wa Uturuki Elsek Osman na mwenzake Gokmen Sandikci kuzuiliwa kwa siku kumi na nne huku uchunguzi ukiendelea kuhusu madai ya kufadhili ugaidi.
By Robert Menza 1w ago
Aliyekuwa Waziri na Mbunge wa zamani wa Lugari, Cyrus Jirongo, amefariki dunia kufuatia ajali ya barabarani eneo la Karai, Naivasha, kwenye barabara kuu ya Nairobi–Nakuru.
By Suleiman Kagwe 1mo ago
Muthoni, mwenye umri wa miaka 22, alianza safari hiyo Jumatatu, Desemba 8, 2025, nje ya Ofisi ya Gavana wa Nyeri, akishuhudiwa na wananchi waliovutiwa na tukio hilo adimu.
By Suleiman Kagwe 1mo ago
Mama wa mwanamuziki wa nyimbo za njili nchini Betty Bayo, amewasilisha rasmi ombi kwa Ofisi ya Mkuu wa Mashtaka ya Umma nchini ili kufunguliwa uchunguzi rasmi kuhusu kifo cha binti yake.
By Suleiman Kagwe 1mo ago
NTSA ilisema uchunguzi wa uthibiti ulibaini ukiukaji mkubwa wa masharti ya usalama wa barabarani, ikiwemo mwendo kasi na kutofuata taratibu za uendeshaji barabarani.
By Suleiman Kagwe 1mo ago
Tume ya IEB imetoa onyo kali kwa wanasiasa wanaodaiwa kuwatisha na kuingilia majukumu ya maafisa wa uchaguzi, ikisema vitendo hivyo vinahatarisha uadilifu wa chaguzi nchini.
By Suleiman Kagwe 1mo ago
Gavana Ndeti amesema maendeleo si tu kuhusu barabara, afya, maji na nyenginezo ila pia ni kuhusu kuwezesha watu binafsi kimapato.
By Suleiman Kagwe 1mo ago
Mswada huo, uliodhaminiwa na Seneta Karen Nyamu, unapendekeza mfumo mpana wa kushughulikia mapungufu yaliyopo katika uchunguzi wa mapema na utoaji wa huduma maalum.
By Suleiman Kagwe 1mo ago
Jumla ya maseneta 38 walipigia kura kuunga mkono hoja hiyo, na hivyo kumpa nafasi ya kuepuka kusikilizwa kwa mashtaka kamili, baada ya kubainika kuwa Wawakilishi Wadi walikiuka sheria katika kura yao.
By Suleiman Kagwe 1mo ago
Asilimia 68 ya mapato ya kawaida hutumika kulipa deni la umma na mishahara ya serikali, na kuacha chini ya theluthi moja ya bajeti ya afya, elimu, usalama wa chakula, maji na usafi wa mazingira.
By Robert Menza 1mo ago
.

Latest