×
The Standard Group Plc is a multi-media organization with investments in media platforms spanning newspaper print operations, television, radio broadcasting, digital and online services. The Standard Group is recognized as a leading multi-media house in Kenya with a key influence in matters of national and international interest.
  • Standard Group Plc HQ Office,
  • The Standard Group Center,Mombasa Road.
  • P.O Box 30080-00100,Nairobi, Kenya.
  • Telephone number: 0203222111, 0719012111
  • Email: [email protected]
.

News

Polisi katika eneo la Athi River wamewakamata washukiwa wawili wa genge la wezi

Maafisa wa polisi katika eneo la Athi River, Kaunti ya Machakos, wamefanikiwa kukamata washukiwa wawili wanaoaminika kuwa wanachama wa genge lenye vijana 15
By Patel Mulevu 2d ago
https://cdn.standardmedia.co.ke/images/articles/thumbnails/lmJz2AlDGZkE0uceqFT2mNH7GCU7TJdGI2hGNxIs.jpg
Serikali ya Kitaifa imetenga shilingi bilioni mbili kwa fidia ya ardhi na shilingi milioni 838 kwa ajili ya kuhamisha wafanyabiashara, katika juhudi za kuharakisha ujenzi
By Robert Menza 2d ago
Serikali imetangaza kaunti 14 kuwa miongoni mwa zilizoathirika zaidi na kiangazi kufuatia mvua chache iliyonyesha msimu uliopita.
By Suleiman Kagwe na Patel Mulevu 3d ago
Ukame mkali umeacha zaidi ya Wakenya milioni mbili wakikabiliwa na njaa, huku jamii za wafugaji katika eneo la Kaskazini Mashariki zikionekana kuathirika zaidi
By Suleiman Kagwe 4d ago
Tawi la Linda Mwananchi linafanya kazi dhidi ya uongozi wa Oburu Odinga, likipinga mkataba wa makubaliano na UDA na kudai demokrasia ndani ya chama kupitia NDC.
By Suleiman Kagwe 4d ago
Uchambuzi mpya wa shirika hilo unaonesha kuwa takriban asilimia 37 ya visa vipya vya saratani vilivyoripotiwa mwaka 2022, sawa na visa milioni 7.1, vilihusishwa na sababu zinazoweza kuzuilika.
By Robert Menza 5d ago
Idara hiyo imesema kuwa sehemu kubwa ya nchi itashuhudia joto kali hadi mvua zitakapoanza mwezi Machi.
By Robert Menza 1w ago
Kupitia mpango wa lishe shuleni unaotekelezwa bila malipo, zaidi ya watoto 12,000 wanaosoma katika vituo vya ECDE wananufaika na chakula cha kila siku.
By Robert Menza 2w ago
Hata hivyo, hali ya ukame kuliko kawaida inatarajiwa katika maeneo ya pwani ya Kenya, hali inayohitaji tahadhari ya mapema kwa jamii na wadau wa sekta nyeti kama kilimo na maji.
By Suleiman Kagwe 2w ago
Kwa mujibu wa Daghar, serikali inatambua mchango mkubwa wa wasanii katika kukuza utamaduni, kutoa ajira kwa vijana na kuimarisha sekta ya ubunifu.
By Robert Menza 2w ago
Akizungumza jijini Mombasa, Nyoro amesema elimu ni nguzo kuu ya mustakabali wa taifa na lazima iwe ya bure, inayopatikana kwa urahisi na yenye kulindwa dhidi ya ushawishi wa kisiasa.
By Robert Menza 3w ago
KEMRI yaonya kuwa usugu wa dawa (antimicrobial resistance) ni tishio kubwa kwa utekelezaji wa mpango wa afya kwa wote, usalama wa afya ya taifa, maandalizi ya majanga ya kiafya.
By Robert Menza 3w ago
.

Latest