×
The Standard Group Plc is a multi-media organization with investments in media platforms spanning newspaper print operations, television, radio broadcasting, digital and online services. The Standard Group is recognized as a leading multi-media house in Kenya with a key influence in matters of national and international interest.
  • Standard Group Plc HQ Office,
  • The Standard Group Center,Mombasa Road.
  • P.O Box 30080-00100,Nairobi, Kenya.
  • Telephone number: 0203222111, 0719012111
  • Email: [email protected]
.

News

Waziri wa mazingira Barasa aagiza kufungwa kwa kampuni ya Shreeji Chemicals

Waziri wa mazingira Deborah Barasa ameagiza kufungwa mara moja kwa kampuni ya Shreeji Chemicals Limited kwa kukiuka sheria za mamlaka ya usimamizi wa mazingira NEMA
By Patel Mulevu 5d ago
https://cdn.standardmedia.co.ke/images/articles/thumbnails/3sHSljfW44C26Eu9PA9w8kJ0EyMPFE04KW31Mj6v.jpg
Maafisa wakuu na wakufunzi katika taasisi za Mafunzo ya Ufundi na Ufundi Stadi (TVET) wameonywa vikali kufuatia kuibuka kwa madai ya unyanyasaji wa kingono dhidi ya wanafunzi.
By Robert Menza 1w ago
Kinara wa chama cha Wiper, Kalonzo Musyoka ametoa onyo kali kwa wanasiasa wanaokiuka msimamo wa chama, akisema wanajikatia tiketi ya kwenda nyumbani.
By Patel Mulevu 3w ago
Mabaharia tisa raia wa Kenya wamekwama katika eneo la Kilwa, kusini mwa Tanzania, baada ya chombo chao cha uvuvi kukamatwa na mamlaka za Tanzania
By Robert Menza 3w ago
Viwango vya kuishi kwa watoto wenye saratani bado vinatofautiana sana kati ya nchi zenye kipato cha juu na zile zenye kipato cha chini, hali inayochangiwa na changamoto nyingi zinazohusiana.
By Suleiman Kagwe 1mo ago
Chama tawala cha UDA kimetetea jinsi serikali inavyoshughulikia kashfa inayodaiwa kuhusiana na ununuzi wa mafuta, kikishutumu wapinzani wa kisiasa kwa kutumia suala hilo
By Robert Menza 1mo ago
Meli ya Grande Florida Palermo, inayomilikiwa na kampuni ya Grimaldi Lines, imekuwa meli ya pili kubeba magari kugeuzwa kuelekea Bandari ya Lamu
By Robert Menza 1mo ago
Wakazi wa kijiji cha Mbukoni wataanza kunufaika na mafunzo ya bure kuhusu huduma za mtandao baada ya uzinduzi wa ujenzi wa maktaba ya kisasa kutoa mafunzo ya kidijitali.
By Patel Mulevu 1mo ago
Waziri mwenye Mamlaka Makuu, Musalia Mudavadi ametangaza kuwa maafisa wa polisi wa Kenya waliokuwa wametumwa nchini Haiti sasa wataanza kurejea nyumbani
By Suleiman Kagwe 2mos ago
Mbunge wa Kiharu Ndindi Nyoro amekosoa mpango wa uuzaji wa hisa kwa umma (IPO) wa Kampuni ya Kenya Pipeline (KPC), akidai kuwa haukuendeshwa kwa misingi ya soko
By Robert Menza 2mos ago
Jeshi la Kitaifa la Somalia (SNAF) limeanzisha operesheni mpya katika eneo la Lower Shabelle, kusini mwa Somalia, ikilenga wanamgambo wa Al-Shabaab.
By Robert Menza 2mos ago
Inspekta Mkuu wa Polisi Douglas Kanja amesema serikali inaendelea na uchunguzi wa kina kuhusu ripoti za Wakenya wanaodaiwa kukwama nchini Urusi katika mazingira tata.
By Robert Menza na Esther Kirong 2mos ago
.

Latest