×
App Icon
The Standard e-Paper
Informed Minds Prefer The Standard
★★★★ - on Play Store
Download Now

Raila alazimika kukatiza hotuba Kericho

Wakazi wa eneo la Kapsoit katika kaunti ya Kericho wamemsuta mwaniaji wa kiti cha urais katika muungano wa NASA Raila Odinga na kumtaja kuwa mwongo anapodai kuwa kilimo biashara katika eneo hilo sasa ni duni.

Katika matangazo ya moja kwa moja ya hutuba ya Bw Odinga eneo hilo, kupitia KTN News, wananchi waliskika wakisema kuwa eneo hilo ni ngome ya chama cha Jubilee.

Get Full Access for Ksh299/Week
Uncover the stories others won’t tell. Subscribe now for exclusive access
  • Unlimited access to all premium content
  • Uninterrupted ad-free browsing experience
  • Mobile-optimized reading experience
  • Weekly Newsletters
  • MPesa, Airtel Money and Cards accepted
Already a subscriber? Log in