The Standard Group Plc is a
multi-media organization with investments in media platforms spanning newspaper
print operations, television, radio broadcasting, digital and online services. The
Standard Group is recognized as a leading multi-media house in Kenya with a key
influence in matters of national and international interest.
Dhamira ya Rais Paul Kagame kutaka kujipatia muhula wa tatu haueleweki. Ameonekana kwa miaka mingi sasa kama rais aliyeitoa nchi yake kutoka safisha safisha za kikabila hadi kuwa nchi tulivu na yenye ustawi. Shida ni kwamba mara kwa mara, kuna ukandamizaji wa upinzani. Kwa jumla, ni kiongozi mzuri. Sasa anaonekana amelewa na madaraka na hataki kutoka usukani. Haya ndiyo maneno yanayoirudisha Afrika nyuma.
Kote Afrika Kati iwe DRC, Burundi au sasa Rwanda, viongozi wanataka kukalia madaraka kwa muda usiokubalika kikatiba. Chanzo chao cha kutaka kuendelea kwenye uongozi ni kukandamiza upinzani na pia kufurahisha vibaraka wanaowapotosha kuendeleza mihula yao ya uongozi.
Premium Article
Get Full Access for Ksh299/Week.
Bold Reporting Takes Time, Courage and Investment. Stand With Us.
🔥 Flash Sale !
Subscribe now and enjoy 50% off monthly and annual plans. Offer ends in…
Stand With Bold Journalism.
Stand With The Standard.
Journalism can't be free because the truth demands investment.
At The Standard, we invest time, courage and skills to bring you accurate,
factual and impactful stories. Subscribe today and stand with us in the
pursuit of credible journalism.