Please enable JavaScript to view advertisements.
×
App Icon
The Standard e-Paper
Smart Minds Choose Us
★★★★ - on Play Store
Download App

Rais Kagame: ubwanyenye ni matokeo ya kuwa madarakani kwa muda mrefu sana

Dhamira ya Rais Paul Kagame kutaka kujipatia muhula wa tatu haueleweki. Ameonekana kwa miaka mingi sasa kama rais aliyeitoa nchi yake kutoka safisha safisha za kikabila hadi kuwa nchi tulivu na yenye ustawi. Shida ni kwamba mara kwa mara, kuna ukandamizaji wa upinzani. Kwa jumla, ni kiongozi mzuri. Sasa anaonekana amelewa na madaraka na hataki kutoka usukani. Haya ndiyo maneno yanayoirudisha Afrika nyuma.

Kote Afrika Kati iwe DRC, Burundi au sasa Rwanda, viongozi wanataka kukalia madaraka kwa muda usiokubalika kikatiba. Chanzo chao cha kutaka kuendelea kwenye uongozi ni kukandamiza upinzani na pia kufurahisha vibaraka wanaowapotosha kuendeleza mihula yao ya uongozi.

Premium Article

Get Full Access for Ksh299/Week.

Bold Reporting Takes Time, Courage and Investment. Stand With Us.
Continue Reading  →
What you get
  • Unlimited access to all premium content
  • Ad-free browsing experience
  • Mobile-optimised reading
  • Weekly newsletters & digests
Pay via
M - PESA
VISA
Airtel Money
Secure Payments Kenya's most trusted newsroom since 1902
Support Independent Journalism

Stand With Bold Journalism.
Stand With The Standard.

Journalism can't be free because the truth demands investment. At The Standard, we invest time, courage and skills to bring you accurate, factual and impactful stories. Subscribe today and stand with us in the pursuit of credible journalism.

Pay via
M - PESA
VISA
Airtel Money
Secure Payment Kenya's most trusted newsroom since 1902

Follow The Standard on Google News