×
App Icon
The Standard e-Paper
Smart Minds Choose Us
★★★★ - on Play Store
Download App

Eneo la Simba wala watu wa Tsavo

Wafanya kazi waliokuwa wakijenga reli katika enzi za ukoloni. [File, Pambazuko]

Mbuga ya kitaifa ya hifadhi ya Tsavo ndio kubwa zaidi nchini na ya pili kwa ukubwa duniani baada ya ile ya kitaifa ya Kruger iliyoka Afrika Kusini, ikiwa na ukubwa wa kilomita 21,000 mraba. Mbuga hii ambayo imegawanywa sehemu mbili ya Tsavo Mashariki na Magharibi ina sifa kemkem duniani kama hifadhi ya wanyama maarufu watano yaani Big Five ambao ni chui, ndovu, kifaru, simba na nyati. Hata hivyo simba wa mbuga ya Tsavo wanaotofauti na wale wengine ulimwenguni  kwani wale wa kiume hawana nywele nyingi kichwani , hivyo kuwa vigumu kidogo kuwatofautisha na wale wa kike.

 Fauku ya hayo simba wa Tsavo wana historia kabambe hasa wale simba wala watu wawili alimaarufu kama Man Eaters of Tsavo. Simba hawa ndio kiini cha jina la eneo liitawalo Man Eaters lililoko kwenye barabara kuu ya kutoka Mombasa kuelekea Nairobi, yapata  kilomita 40 kutoka mji wa Voi.

Premium Article

Get Full Access for Ksh299/Week.

Uncover the stories others won't tell. Subscribe now for exclusive access.
Continue Reading  →
What you get
  • Unlimited access to all premium content
  • Ad-free browsing experience
  • Mobile-optimised reading
  • Weekly newsletters & digests
Pay via
M - PESA
VISA
Airtel Money
Secure Payments Kenya's most trusted newsroom since 1902
Support Independent Journalism

Stand With Bold Journalism.
Stand With The Standard.

Journalism can't be free because the truth demands investment. At The Standard, we invest time, courage and skills to bring you accurate, factual and impactful stories. Subscribe today and stand with us in the pursuit of credible journalism.

Pay via
M - PESA
VISA
Airtel Money
Secure Payment Kenya's most trusted newsroom since 1902