Harambee stars count down to angola match -swahili

Timu ya taifa ya soka harambee stars inajifua kuchuana na angola katika mchuano wa kufuzu kwa kombe la barani afrika huku wakifahamu kwamba kupoteza mchuano huo kutakatiza ndoto ya timu hiyo ya kufuzu kwa dimba hilo. Pengine ni kwa mantiki hii kocha zedekiah zico otieno ambaye ataongoza timu ya taifa kwa mara ya kwanza nchini ametaja kikosi kilicho na uzoefu wa dimba hili.