The Standard Group Plc is a
multi-media organization with investments in media platforms spanning newspaper
print operations, television, radio broadcasting, digital and online services. The
Standard Group is recognized as a leading multi-media house in Kenya with a key
influence in matters of national and international interest.
Rais Uhuru Kenyatta leo hii ameongoza sherehe ya 57 ya siku ya Madaraka huku akitumia maadhimisho hayo kuzungumzia uwezekano wa kuifanyika katiba marekebisho. Rais Kenyatta amesema lengo si kuondoa yaliyoko bali kuiboresha zaidi katiba iliyoidhinishwa mwaka 2010.
Rais amesema Kenya inahitaji mageuzi ya katiba ambayo yatakomesha ghasia kila wakati wa uchaguzi ambazo zimekuwa zikishuhudiwa nchini tangu mwaka wa elfu moja mia tisa tisini na mbili, kuimarisha demokrasia na kudumisha umoja wa wananchi. Ikumbukwe Rais Kenyatta na Kinara wa ODM, Rauka Odinga wamekuwa wakiendeleza mchakato wa kuifanyika katiba marekebisho kupita Mpango wa Upatanisho, BBI.
Premium Article
Get Full Access for Ksh299/Week.
Uncover the stories others won't tell. Subscribe now for exclusive access.
🔥 Flash Sale !
Subscribe now and enjoy 50% off monthly and annual plans. Offer ends in…
Stand With Bold Journalism.
Stand With The Standard.
Journalism can't be free because the truth demands investment.
At The Standard, we invest time, courage and skills to bring you accurate,
factual and impactful stories. Subscribe today and stand with us in the
pursuit of credible journalism.