Please enable JavaScript to view advertisements.
×
App Icon
The Standard e-Paper
Stay Informed, Even Offline
★★★★ - on Play Store
Download App

Rais Kenyatta azungumzia uwezekano wa kuifanyia katiba marekebisho

Rais Uhuru Kenyatta leo hii ameongoza sherehe ya 57 ya siku ya Madaraka huku akitumia maadhimisho hayo kuzungumzia uwezekano wa kuifanyika katiba marekebisho. Rais Kenyatta amesema lengo si kuondoa yaliyoko bali kuiboresha zaidi katiba iliyoidhinishwa mwaka 2010.

Rais amesema Kenya inahitaji mageuzi ya katiba ambayo yatakomesha ghasia kila wakati wa uchaguzi ambazo zimekuwa zikishuhudiwa nchini tangu mwaka wa elfu moja mia tisa tisini na mbili, kuimarisha demokrasia na kudumisha umoja wa wananchi. Ikumbukwe Rais Kenyatta na Kinara wa ODM, Rauka Odinga wamekuwa wakiendeleza mchakato wa kuifanyika katiba marekebisho kupita Mpango wa Upatanisho, BBI.

Premium Article

Get Full Access for Ksh299/Week.

Uncover the stories others won't tell. Subscribe now for exclusive access.
Continue Reading  →
What you get
  • Unlimited access to all premium content
  • Ad-free browsing experience
  • Mobile-optimised reading
  • Weekly newsletters & digests
Pay via
M - PESA
VISA
Airtel Money
Secure Payments Kenya's most trusted newsroom since 1902
Support Independent Journalism

Stand With Bold Journalism.
Stand With The Standard.

Journalism can't be free because the truth demands investment. At The Standard, we invest time, courage and skills to bring you accurate, factual and impactful stories. Subscribe today and stand with us in the pursuit of credible journalism.

Pay via
M - PESA
VISA
Airtel Money
Secure Payment Kenya's most trusted newsroom since 1902

Follow The Standard on Google News

Related Topics

katiba uhuru