×
App Icon
The Standard e-Paper
Home To Bold Columnists
★★★★ - on Play Store
Download App

Chama cha Mashinani CCM kitaungana na Jubilee

Kupitia mtandao wake wa twitter, Guleid amesema kuwa  makubaliano hayo yatawasilishwa kwa msajili wa vyama vya kisiasa hivi karibuni.

Amesema wakati huu mazungumzo yangali yanaendelea kuhusu muungano huo wakati wachanganuzi wa kisiasa wakisema ni wakati wa Ruto kujitosa tena katika ulingo wa kisiasa baada ya kubwagwa na marehumu Joyce Laboso wakati wa uchaguzi wa mwaka wa 2017.

Get Full Access for Ksh299/Week.
Fact‑first reporting that puts you at the heart of the newsroom. Subscribe for full access.
  • Unlimited access to all premium content
  • Uninterrupted ad-free browsing experience
  • Mobile-optimized reading experience
  • Weekly Newsletters
  • MPesa, Airtel Money and Cards accepted
Already a subscriber? Log in