Kupitia mtandao wake wa twitter, Guleid amesema kuwa makubaliano hayo yatawasilishwa kwa msajili wa vyama vya kisiasa hivi karibuni.
Amesema wakati huu mazungumzo yangali yanaendelea kuhusu muungano huo wakati wachanganuzi wa kisiasa wakisema ni wakati wa Ruto kujitosa tena katika ulingo wa kisiasa baada ya kubwagwa na marehumu Joyce Laboso wakati wa uchaguzi wa mwaka wa 2017.