Please enable JavaScript to view advertisements.
×
App Icon
The Standard e-Paper
Fearless, Trusted News
★★★★ - on Play Store
Download App

Aukot aitaka serikali kuwachukulia hatua polisi wanaotumia nguvu kupita kiasi

Kiongozi wa chama cha Thirdway Alliance Dakta Ekuru Aukot sasa anaitaka serikali kuwachukulia hatua za kisheria maafisa wa polisi watakaopatikana wakitumia nguvu kupita kisasi wakati wa kutekeleza agizo la kutopatikana nje.

Kwa mujibu wa Aukot, maafisa wa usalama walionakiliwa kwenye kanda za video wakiwapiga na hata kuwajeruhi waliokiuka agizo hilo la Rais Uhuru Kenyatta wanapaswa kutambuliwa na kuadhibiwa na kuitaka Idara ya Upelelezi, DCI kufanya uchunguzi wa kina kuhusu visa hivyo.

Premium Article

Get Full Access for Ksh299/Week.

Bold Reporting Takes Time, Courage and Investment. Stand With Us.
Continue Reading  →
What you get
  • Unlimited access to all premium content
  • Ad-free browsing experience
  • Mobile-optimised reading
  • Weekly newsletters & digests
Pay via
M - PESA
VISA
Airtel Money
Secure Payments Kenya's most trusted newsroom since 1902
Support Independent Journalism

Stand With Bold Journalism.
Stand With The Standard.

Journalism can't be free because the truth demands investment. At The Standard, we invest time, courage and skills to bring you accurate, factual and impactful stories. Subscribe today and stand with us in the pursuit of credible journalism.

Pay via
M - PESA
VISA
Airtel Money
Secure Payment Kenya's most trusted newsroom since 1902

Follow The Standard on Google News