×
App Icon
The Standard e-Paper
Stay Informed, Even Offline
★★★★ - on Play Store
Download App

Handisheki ya Jomo na Ngala iliyozika Pwani

Mkutano ulioibuka na hendisheki baina ya Jomo Kenyatta na Ronald Ngala mbele ya wakoloni Waingereza. [Pambazuko]

Kama kunalo fungu la watu ambao wamechezwa shere miaka mingi katika mipangilio ya mfumo unaoletwa na mapendekezo ya BBI, bila shaka ni Wakenya wanaoishi jimbo zima la pwani ya Kenya. Wameshuhudia BBI chungu nzima tangu jadi ya kuwakaribisha wageni wa mwanzo ambao hatimaye waliwageukia kuwafanya bidhaa za kuwauzia milki za kigeni, Ghuba la uajemi na Bara Ulaya. 

Get Full Access for Ksh299/Week.
Uncover the stories others won’t tell. Subscribe now for exclusive access
  • Unlimited access to all premium content
  • Uninterrupted ad-free browsing experience
  • Mobile-optimized reading experience
  • Weekly Newsletters
  • MPesa, Airtel Money and Cards accepted
Already a subscriber? Log in