Please enable JavaScript to view advertisements.
×
App Icon
The Standard e-Paper
Home To Bold Columnists
★★★★ - on Play Store
Download App

Wavuvi 54 kutoka taifa jirani la Tanzania wanashughulikiwa na Idara ya Uhamiaji

Wavuvi 54 wa kigeni waliokuwa wakiendeleza shughuli za uvuvi katika ufuo wa bahari wa Pemba nchini Tanzania ambao walizidiwa na mawimbi makali ya bahari na kujipata katika bandari ya Old Ferry Kilifi mapema jana, kwa sasa wanashughulikiwa na Idara ya Uhamiaji.

Kamishna wa Kaunti ya Kilifi, Magu Mutundika amesema juhudi zinawekwa ili kuhakikisha wanarejea nchini mwao salama ikizingatiwa hawana stakabadhi za kuwaruhusu kuwa humu nchini. Hamadi Haji Juma, mmoja wa wavuvi hao amsema kwamba mawimbi makali ya bahari yalisababisha kuharibika kwa mashua yao.

Premium Article

Get Full Access for Ksh299/Week.

Bold Reporting Takes Time, Courage and Investment. Stand With Us.
Continue Reading  →
What you get
  • Unlimited access to all premium content
  • Ad-free browsing experience
  • Mobile-optimised reading
  • Weekly newsletters & digests
Pay via
M - PESA
VISA
Airtel Money
Secure Payments Kenya's most trusted newsroom since 1902
Support Independent Journalism

Stand With Bold Journalism.
Stand With The Standard.

Journalism can't be free because the truth demands investment. At The Standard, we invest time, courage and skills to bring you accurate, factual and impactful stories. Subscribe today and stand with us in the pursuit of credible journalism.

Pay via
M - PESA
VISA
Airtel Money
Secure Payment Kenya's most trusted newsroom since 1902

Follow The Standard on Google News

Related Topics

tanzania fishermen