The Standard Group Plc is a
multi-media organization with investments in media platforms spanning newspaper
print operations, television, radio broadcasting, digital and online services. The
Standard Group is recognized as a leading multi-media house in Kenya with a key
influence in matters of national and international interest.
Wavuvi 54 wa kigeni waliokuwa wakiendeleza shughuli za uvuvi katika ufuo wa bahari wa Pemba nchini Tanzania ambao walizidiwa na mawimbi makali ya bahari na kujipata katika bandari ya Old Ferry Kilifi mapema jana, kwa sasa wanashughulikiwa na Idara ya Uhamiaji.
Kamishna wa Kaunti ya Kilifi, Magu Mutundika amesema juhudi zinawekwa ili kuhakikisha wanarejea nchini mwao salama ikizingatiwa hawana stakabadhi za kuwaruhusu kuwa humu nchini. Hamadi Haji Juma, mmoja wa wavuvi hao amsema kwamba mawimbi makali ya bahari yalisababisha kuharibika kwa mashua yao.
Premium Article
Get Full Access for Ksh299/Week.
Bold Reporting Takes Time, Courage and Investment. Stand With Us.
🔥 Flash Sale !
Subscribe now and enjoy 50% off monthly and annual plans. Offer ends in…
Stand With Bold Journalism.
Stand With The Standard.
Journalism can't be free because the truth demands investment.
At The Standard, we invest time, courage and skills to bring you accurate,
factual and impactful stories. Subscribe today and stand with us in the
pursuit of credible journalism.