×
App Icon
The Standard e-Paper
Stay Informed, Even Offline
★★★★ - on Play Store
Download App

Msako mkali kuanzishwa na maafisa wa TSC dhidi ya walimu

Msako mkali unatarajiwa kuanzishwa asubuhi hii na maafisa wa Tume ya Huduma za Walimu, TSC dhidi ya walimu ambao hawajasajiliwa rasmi na tume hiyo lakini wanafunza katika shule za umma na za binafsi.

Msako huo unawalenga walimu ambao waliondolewa katika orodha ya TSC kwa sababu za nidhamu zikiwamo dhulma za ngono na wakarejea kufunza kwa kutumia njia za mkato.

Get Full Access for Ksh299/Week.
Uncover the stories others won’t tell. Subscribe now for exclusive access
  • Unlimited access to all premium content
  • Uninterrupted ad-free browsing experience
  • Mobile-optimized reading experience
  • Weekly Newsletters
  • MPesa, Airtel Money and Cards accepted
Already a subscriber? Log in