×
App Icon
The Standard e-Paper
Fearless, Trusted News
★★★★ - on Play Store
Download App

Msako mkali kuanzishwa na maafisa wa TSC dhidi ya walimu

Msako mkali unatarajiwa kuanzishwa asubuhi hii na maafisa wa Tume ya Huduma za Walimu, TSC dhidi ya walimu ambao hawajasajiliwa rasmi na tume hiyo lakini wanafunza katika shule za umma na za binafsi.

Msako huo unawalenga walimu ambao waliondolewa katika orodha ya TSC kwa sababu za nidhamu zikiwamo dhulma za ngono na wakarejea kufunza kwa kutumia njia za mkato.

Get Full Access for Ksh299/Week.
Bold Reporting Takes Time, Courage and Investment. Stand With Us.
  • Unlimited access to all premium content
  • Uninterrupted ad-free browsing experience
  • Mobile-optimized reading experience
  • Weekly Newsletters
  • MPesa, Airtel Money and Cards accepted
Already a subscriber? Log in