The Standard Group Plc is a
multi-media organization with investments in media platforms spanning newspaper
print operations, television, radio broadcasting, digital and online services. The
Standard Group is recognized as a leading multi-media house in Kenya with a key
influence in matters of national and international interest.
Waziri wa Elimu, Prof George Magoha ametangaza kwamba shughuli ya kutoa mafunzo kwa walimu kuhusu mtalaa mpya ilifaulu pakubwa huku walimu elfu 91 wakipewa mafunzo hayo. Akizungumza mjini Kisumu, Magoha amewakosoa wale wanaopinga mafunzo kwa walimu japo amesema yu tayari kushiriki mazungumzo zaidi na washikadau mbalimbali.
Premium Article
Get Full Access for Ksh299/Week.
Bold Reporting Takes Time, Courage and Investment. Stand With Us.
Stand With Bold Journalism.
Stand With The Standard.
Journalism can't be free because the truth demands investment.
At The Standard, we invest time, courage and skills to bring you accurate,
factual and impactful stories. Subscribe today and stand with us in the
pursuit of credible journalism.