×
App Icon
The Standard e-Paper
Fearless, Trusted News
★★★★ - on Play Store
Download App

Mwili wa Ivy Wangeci wazikwa

Hatimaye Ivy Wangechi mwanafunzi wa chuo Kikuu cha Moi ambaye aliuliwa na aliyekuwa mpenziwe Naftali Kinuthia kwa kukatwa kwa shoka, amezikwa nyumbani kwao katika Kijiji cha Mahiga kwenye Kaunti ya Nyeri. Viongozi,  jamaa na marafiki waliofika katika hafla ya mazishi wamekishtumu kitendo hicho cha mauaji huku wakimtaka mshukiwa afunguliwe mashtaka mara moja. 

Ni siku ambayo imekuwa ya majonzi hasa baada ya Mwili wa Ivy Wangechi kuwasili katika uwanja wa Shule ya Msingi ya Mahiga.

Get Full Access for Ksh299/Week.
Uncover the stories others won’t tell. Subscribe now for exclusive access
  • Unlimited access to all premium content
  • Uninterrupted ad-free browsing experience
  • Mobile-optimized reading experience
  • Weekly Newsletters
  • MPesa, Airtel Money and Cards accepted
Already a subscriber? Log in

Related Topics

Ivy wangeci