Please enable JavaScript to view advertisements.
×
App Icon
The Standard e-Paper
Fearless, Trusted News
★★★★ - on Play Store
Download App

Kiunjuri asutwa kwa kuchelewa kuwasilisha ripoti ya jopo lililoteuliwa na Rais

Naibu mwenyekiti wa jopo liloteuliwa na Rais Uhuru Kenyatta,  kushughulikia changamoto za wakulima  wa mahindi Patrick Khaemba amemsuta mwenyekiti wa jopo hilo ambaye pia ni Waziri wa Kilimo,  Mwangi Kiunjuri kwa kuchelewa kuwasilisha  ripoti ya jopo hilo kwa Rais Kenyatta.

Khaemba ambaye  ni Gavana wa Kaunti ya Trans Nzoia, amesema wakulima ambao wanaendelea kuyatayarisha mashamba yao tayari kwa upanzi wamejipata kwenye  njia panda wasijue mstakabali wa sekta hiyo ya kilimo.

Premium Article

Get Full Access for Ksh299/Week.

Bold Reporting Takes Time, Courage and Investment. Stand With Us.
Continue Reading  →
What you get
  • Unlimited access to all premium content
  • Ad-free browsing experience
  • Mobile-optimised reading
  • Weekly newsletters & digests
Pay via
M - PESA
VISA
Airtel Money
Secure Payments Kenya's most trusted newsroom since 1902
Support Independent Journalism

Stand With Bold Journalism.
Stand With The Standard.

Journalism can't be free because the truth demands investment. At The Standard, we invest time, courage and skills to bring you accurate, factual and impactful stories. Subscribe today and stand with us in the pursuit of credible journalism.

Pay via
M - PESA
VISA
Airtel Money
Secure Payment Kenya's most trusted newsroom since 1902

Follow The Standard on Google News

Related Topics