The Standard Group Plc is a
multi-media organization with investments in media platforms spanning newspaper
print operations, television, radio broadcasting, digital and online services. The
Standard Group is recognized as a leading multi-media house in Kenya with a key
influence in matters of national and international interest.
Naibu mwenyekiti wa jopo liloteuliwa na Rais Uhuru Kenyatta, kushughulikia changamoto za wakulima wa mahindi Patrick Khaemba amemsuta mwenyekiti wa jopo hilo ambaye pia ni Waziri wa Kilimo, Mwangi Kiunjuri kwa kuchelewa kuwasilisha ripoti ya jopo hilo kwa Rais Kenyatta.
Khaemba ambaye ni Gavana wa Kaunti ya Trans Nzoia, amesema wakulima ambao wanaendelea kuyatayarisha mashamba yao tayari kwa upanzi wamejipata kwenye njia panda wasijue mstakabali wa sekta hiyo ya kilimo.
Premium Article
Get Full Access for Ksh299/Week.
Bold Reporting Takes Time, Courage and Investment. Stand With Us.
🔥 Flash Sale !
Subscribe now and enjoy 50% off monthly and annual plans. Offer ends in…
Stand With Bold Journalism.
Stand With The Standard.
Journalism can't be free because the truth demands investment.
At The Standard, we invest time, courage and skills to bring you accurate,
factual and impactful stories. Subscribe today and stand with us in the
pursuit of credible journalism.