The Standard Group Plc is a
multi-media organization with investments in media platforms spanning newspaper
print operations, television, radio broadcasting, digital and online services. The
Standard Group is recognized as a leading multi-media house in Kenya with a key
influence in matters of national and international interest.
Serikali imelaumiwa kufuatia uhaba wa chakula kwenye kaunti 13 ambazo zinakumbwa na ukame nchini. Baadhi ya wabunge wakiongozwa na Kiongozi wa Wachache katika Bunge la Kitaifa, John Mbadi aidha wamewasuta maafisa wa Mamlaka ya Kukabili Majanga Nchini kwa kudai kwamba hakuna watu ambao wameaga dunia kutokana na makali ya njaa.
Wakizungumza kwenye vikao vya Jumanne alasiri, wabunge hao aidha wameitaka serikali kuhakikisha wanawasambazia waathiriwa vyakula vingine kando na mahindi.
Premium Article
Get Full Access for Ksh299/Week.
Uncover the stories others won't tell. Subscribe now for exclusive access.
🔥 Flash Sale !
Subscribe now and enjoy 50% off monthly and annual plans. Offer ends in…
Stand With Bold Journalism.
Stand With The Standard.
Journalism can't be free because the truth demands investment.
At The Standard, we invest time, courage and skills to bring you accurate,
factual and impactful stories. Subscribe today and stand with us in the
pursuit of credible journalism.