The Standard Group Plc is a
multi-media organization with investments in media platforms spanning newspaper
print operations, television, radio broadcasting, digital and online services. The
Standard Group is recognized as a leading multi-media house in Kenya with a key
influence in matters of national and international interest.
Mahakama ya Uajiri na Leba imeongeza muda wa kuzuia kutekelezwa kwa mpango wa serikali kuwatoza waajiriwa asilimia 1.5 ya mishahara yao ili kufanikisha ujenzi wa makazi ya bei nafuu. Jaji Hellen Wasiswa hata hivyo ameupa upande wa mlalamishi ukiongozwa na Muungano wa Vyama vya Wafanyakazi, COTU, muda wa kusuluhisha mvutano huo na serikali nje ya mahakama.
Suala hilo litarejelewa mahakamani tarehe 18 Aprili ambapo wahusika watatakiwa kueleza hatua walizopiga katika kutatua mvutano huo. Katika kesi yake, Katibu Mkuu wa COTU, Francis Atwoli aliibua suala la kutohusishwa kwa Wakenya katika kuamua kadhalika kutozingatia kwamba kuwatoza Wakenya asilimia 1.5 ni sawa na kuwapunguzia mshahara.
Premium Article
Get Full Access for Ksh299/Week.
Uncover the stories others won't tell. Subscribe now for exclusive access.
🔥 Flash Sale !
Subscribe now and enjoy 50% off monthly and annual plans. Offer ends in…
Stand With Bold Journalism.
Stand With The Standard.
Journalism can't be free because the truth demands investment.
At The Standard, we invest time, courage and skills to bring you accurate,
factual and impactful stories. Subscribe today and stand with us in the
pursuit of credible journalism.