Please enable JavaScript to view advertisements.
×
App Icon
The Standard e-Paper
Join Thousands Daily
★★★★ - on Play Store
Download App

COTU, yapewa muda wa kusuluhisha mvutano kati yao na serikali nje ya mahakama.

Mahakama ya Uajiri na Leba imeongeza muda wa kuzuia kutekelezwa kwa mpango wa serikali kuwatoza waajiriwa asilimia 1.5 ya mishahara yao ili kufanikisha ujenzi wa makazi ya bei nafuu. Jaji Hellen Wasiswa hata hivyo ameupa upande wa mlalamishi ukiongozwa na Muungano wa Vyama vya Wafanyakazi, COTU, muda wa kusuluhisha mvutano huo na serikali nje ya mahakama.

Suala hilo litarejelewa mahakamani tarehe 18 Aprili ambapo wahusika watatakiwa kueleza hatua walizopiga katika kutatua mvutano huo. Katika kesi yake, Katibu Mkuu wa COTU, Francis Atwoli aliibua suala la kutohusishwa kwa Wakenya katika kuamua kadhalika kutozingatia kwamba kuwatoza Wakenya asilimia 1.5 ni sawa na kuwapunguzia mshahara.

Premium Article

Get Full Access for Ksh299/Week.

Uncover the stories others won't tell. Subscribe now for exclusive access.
Continue Reading  →
What you get
  • Unlimited access to all premium content
  • Ad-free browsing experience
  • Mobile-optimised reading
  • Weekly newsletters & digests
Pay via
M - PESA
VISA
Airtel Money
Secure Payments Kenya's most trusted newsroom since 1902
Support Independent Journalism

Stand With Bold Journalism.
Stand With The Standard.

Journalism can't be free because the truth demands investment. At The Standard, we invest time, courage and skills to bring you accurate, factual and impactful stories. Subscribe today and stand with us in the pursuit of credible journalism.

Pay via
M - PESA
VISA
Airtel Money
Secure Payment Kenya's most trusted newsroom since 1902

Follow The Standard on Google News

Related Topics