Please enable JavaScript to view advertisements.
×
App Icon
The Standard e-Paper
Home To Bold Columnists
★★★★ - on Play Store
Download App

Washukiwa tisa wa wizi wa mabavu wanaswa

Maafisa wa polisi wamewanasa washukiwa tisa ambao wanahusishwa na misururu ya visa vya  wizi wa kimabavu na ubakaji wa wanafunzi katika Chuo Kikuu cha Maseno.
 

Mkurugenzi wa Idara ya Upelelezi DCI, George Kinoti amesema tisa hao wamenaswa baada ya kupashwa habari  kutoka umma.

Kinoti amesema kwamba washukiwa hao wamenaswa na vifaa hatari vikiwamo panga na rungu. Aidha washukiwa wengi ambao walitoroka wakati wa opereshini hiyo, wanatafuatwa na  polisi. Hatua hiyo ya polisi inafuatia lalama kutoka kwa wanafunzi wa chuo hicho,  ambao wamekuwa wakiibiwa huku wanafunzi wa kike wakibakwa na watu wasiojulikana nyakati za usiku

Premium Article

Get Full Access for Ksh299/Week.

Bold Reporting Takes Time, Courage and Investment. Stand With Us.
Continue Reading  →
What you get
  • Unlimited access to all premium content
  • Ad-free browsing experience
  • Mobile-optimised reading
  • Weekly newsletters & digests
Pay via
M - PESA
VISA
Airtel Money
Secure Payments Kenya's most trusted newsroom since 1902
Support Independent Journalism

Stand With Bold Journalism.
Stand With The Standard.

Journalism can't be free because the truth demands investment. At The Standard, we invest time, courage and skills to bring you accurate, factual and impactful stories. Subscribe today and stand with us in the pursuit of credible journalism.

Pay via
M - PESA
VISA
Airtel Money
Secure Payment Kenya's most trusted newsroom since 1902

Related Topics