×
App Icon
The Standard e-Paper
Kenya’s Boldest Voice
★★★★ - on Play Store
Download App

Shule ya Wavulana ya Njoro, Nakuru yafungwa ghafla

Shule ya Wavulana ya upili ya Njoro kwenye Kaunti ya Nakuru imefungwa ghafla. Maafisa wa Elimu kwenye kaunti hiyo ya Nakuru walichukuwa hatua hiyo baada ya Mwalimu kugundua kuwa kulikuwa na petroli kwenye bweni moja ya shule hiyo inayotumiwa na zaidi ya  Wanafunzi 70.

Haya yanajiri siku chache, baada ya bweni nyingine kuteketezwa na mali yenye dhamani isiyojulikana kuteketea. Wanafunzi wote walitumwa nyumbani baada ya maafisa wa Elimu, Usimamizi wa Shule na Maafisa wa usalama kufanya mkutano na kuafikia uamuzi huo.

Get Full Access for Ksh299/Week.
Fact‑first reporting that puts you at the heart of the newsroom. Subscribe for full access.
  • Unlimited access to all premium content
  • Uninterrupted ad-free browsing experience
  • Mobile-optimized reading experience
  • Weekly Newsletters
  • MPesa, Airtel Money and Cards accepted
Already a subscriber? Log in