The Standard Group Plc is a
multi-media organization with investments in media platforms spanning newspaper
print operations, television, radio broadcasting, digital and online services. The
Standard Group is recognized as a leading multi-media house in Kenya with a key
influence in matters of national and international interest.
Watu wawili wameuliwa huku idadi ya mifugo isiyojulikana ikiibwa na washukiwa wa wizi wa mifugo kwenye Eneo la Kolowa mpakani pa kaunti za Baringo na Elgeyo Marakwet.
Tukio hili limejiri siku chache tu baada ya mazishi ya watu watano wakiwamo polisi wa akiba kuzikwa baada ya kuuliwa kwa kupigwa risasi na washukiwa wa wizi wa mifugo kwenye kijiji cha Sogotei, Kaunti ya Baringo huku idadi isiyojulikana ya mifugo vilevile ikiibwa kwenye Eneo la Kolowa, Todoo Kaunti ya Elgeyo Marakwet.
Premium Article
Get Full Access for Ksh299/Week.
Uncover the stories others won't tell. Subscribe now for exclusive access.
🔥 Flash Sale !
Subscribe now and enjoy 50% off monthly and annual plans. Offer ends in…
Stand With Bold Journalism.
Stand With The Standard.
Journalism can't be free because the truth demands investment.
At The Standard, we invest time, courage and skills to bring you accurate,
factual and impactful stories. Subscribe today and stand with us in the
pursuit of credible journalism.