The Standard Group Plc is a
multi-media organization with investments in media platforms spanning newspaper
print operations, television, radio broadcasting, digital and online services. The
Standard Group is recognized as a leading multi-media house in Kenya with a key
influence in matters of national and international interest.
Viongozi wa vijana kutoka mashirika mbali mbali ya kijamii katika kaunti ya Mombasa wakijumuika pamoja na Mhariri mtekelezaji wa gazeti la Pambazuko baada ya zoezi la kuwapa motisha katika kukuza talanta zao kwenye ukumbi wa kijamii wa uhamazishaji wa mikoko wa Comensum ulioko wadi ya Bamburi kaunti ndogo ya Kisauni, Mombasa.
Vijana kutoka kaunti ndogo sita za Mombasa zinazojumuisha Kisauni, Nyali, Mvita, Likoni, Changamwe na Jomvu wameungana kupitia kwa muungano wa mashirika ya kijamii kuhakikisha kwamba hakuna muda unapotezwa na kijana yeyote yule kama njia mojawapo ya kupambana na ugaidi na utumizi wa mihadarati.
Wakiongwa na James Ruwa na Omar Chai wanatoa wito kwa washikadau wa kaunti kuwasombeza vijana katika kuwapa nafasi ya kujiendeleza siyo tu kimawazo ya masomo bali kuwasumuka katika kuona kwamba talanta zao zimeimarika.
Premium Article
Get Full Access for Ksh299/Week.
Uncover the stories others won't tell. Subscribe now for exclusive access.
🔥 Easter Sale Ends Tonight!
Subscribe now and enjoy 50% off monthly and annual plans. Offer ends in…
Stand With Bold Journalism.
Stand With The Standard.
Journalism can't be free because the truth demands investment.
At The Standard, we invest time, courage and skills to bring you accurate,
factual and impactful stories. Subscribe today and stand with us in the
pursuit of credible journalism.